Upo CCM kwa ajili ya mtu fulani au sera na itikadi ya chama?Kuna tetesi na vurumai kuwa wanaoandaliwa kiti cha Uraisi na CCM ni Pinda au Wassira, hao wengine ni sawa na baiskeli za Mbao zimetangulizwa! Ntahama chama kama ndo hivyo!
Kama uliingia CCM kwa sababu ya pesa za EL tafuta pa kukimbilia mapema. Ila usije CDM please.Kuna tetesi na vurumai kuwa wanaoandaliwa kiti cha Uraisi na CCM ni Pinda au Wassira, hao wengine ni sawa na baiskeli za Mbao zimetangulizwa! Ntahama chama kama ndo hivyo!
Kuna tetesi na vurumai kuwa wanaoandaliwa kiti cha Uraisi na CCM ni Pinda au Wassira, hao wengine ni sawa na baiskeli za Mbao zimetangulizwa! Ntahama chama kama ndo hivyo!
Upo CCM kwa ajili ya mtu fulani au sera na itikadi ya chama?
Wassira for Presidency 2015
hata mkibeza namna gani
AMAKyasa,this is a serious and thought provoking column.Send this thread to the Jokes section.Ni kweli hata mi nimesikia watakuwa marais wa vivutio vya watalii. Mmoja atakuwa hifadhi ya Gombe na mwingine hifadhi ya katavi kila mtu atakuwa rais katika hifadhi yake.