chongoe JF-Expert Member Mar 22, 2019 1,128 2,717 Mar 28, 2021 #1 Karibuni Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Kadhi Mkuu 1 JF-Expert Member Feb 4, 2015 17,057 18,406 Mar 28, 2021 #5 chongoe said: Karibuni View attachment 1736233View attachment 1736234 Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app Click to expand... Tatizo Nini? Kwani Sasa kilo Bei gari? Uko wapi?
chongoe said: Karibuni View attachment 1736233View attachment 1736234 Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app Click to expand... Tatizo Nini? Kwani Sasa kilo Bei gari? Uko wapi?
Kasie Platinum Member Dec 29, 2013 21,234 36,258 Mar 28, 2021 #6 Mazingira waliyopo hayavutii mteja kununua (wamewekwa bila kuzingatia usafi hasa hao walio chini na ukuta haueleweki kama ni wa eneo lipi la nyumba). Ukiacha alfu lela ulela za tafsiri zinazoletwa na macho, hiyo chakula ni madini / virutubisho vizuri sana kwa mwili wa binadamu. Ukinipa lokesheni naja nunua kilo 3.
Mazingira waliyopo hayavutii mteja kununua (wamewekwa bila kuzingatia usafi hasa hao walio chini na ukuta haueleweki kama ni wa eneo lipi la nyumba). Ukiacha alfu lela ulela za tafsiri zinazoletwa na macho, hiyo chakula ni madini / virutubisho vizuri sana kwa mwili wa binadamu. Ukinipa lokesheni naja nunua kilo 3.