Nasikia dada umetelekeza korosho tani 50 kulinda ukuu wa wilaya

Ila akibangua kidogokidogo akapeki atapata hela nyingi zaidi,ingawa mlolongo utakuwa mrefu.
Inataka uvumilivu tu mkuu,maana kuna watu wana vikampuni uchwara wana uza hizo korosho kwny packages tofauti tofauti hata hizo tani 5 yawezekana hawana mkuu.
 
Tena wanasiasa wa huko huko Kusini, waliojidai kutetea sana eti kusini wanaonewa. Kazi yao baadhi wameunda hadi makampuni kwa lengo la kutoa kibano kwa wakulima, bila hata huruma. Mwaka huu ngoja yawapate.

Baadhi ya Wakuu wa Wilaya badala ya kuwasaidia wakulima, nao wamekwenda kushindana na wakulima na kujiingiza kwenye kilimo cha korosho. Mkulima hana msaada. Magufuli piga kazi, kelele ni zao siyo za taifa.
Tuacheni wivu jamani!

Kama mkuu wa Wilaya kipitia mshahara na mikopo yake kaamua kufanya biashara dhambi iko wapi?

Je amewazurumu wakulima?

Anyway kwa kuwa Korosho ni nyala ya serikali na kwamba lazima inunulie kwa utaratibu serikali uliowawekewa watu wake (stakabadhi gharani) na kwamba si ruhusa mtu kununua kotosho mmoja mmoja (sijui kwa nini ilizuiliwa) basi yatosha kusema kila mtu ataguswa kwa namna yake awamu hii!

Sitadhangaa mabadiliko ya viongozi hivi karibuni, Aziza asiwrpo katika kundi kama mtangulizi na aliyekuwa mkuu wa mkoa dada Halima Dendego ambaye bila shaka muda huu anaisoma namba kama wengine wengi!
 
Inataka uvumilivu tu mkuu,maana kuna watu wana vikampuni uchwara wana uza hizo korosho kwny packages tofauti tofauti hata hizo tani 5 yawezekana hawana mkuu.
Tatizo mpango huo alikuwa hana yeye alinunua kwa wakulima ili aje auzie wahindi kwenye minada ya serikali ile,sasa magu kageuza kibao,alafu analeta masuala ya kuonyesha mashamba
 
Tatizo mpango huo alikuwa hana yeye alinunua kwa wakulima ili aje auzie wahindi kwenye minada ya serikali ile,sasa magu kageuza kibao,alafu analeta masuala ya kuonyesha mashamba
Nakuelewa sana mkuu,lkn bora nusu hasara kuliko hasara kamili.

Kuna mwana alikua anafanya kazi huko kwny hayo mambo ya korosho na mwaka jana alivuta harrier yake from Japan freshhhh,lkn this time yuko juu ya mawe hataki hata kusikia neno korosho.
 
Kuna siku nliona anatangaza kukamatwa kwa magunia kadhaa na kutaifisha trekta na mzigo.Kama habari hii inaukweli kazi ipo.
 
Tuacheni wivu jamani!

Kama mkuu wa Wilaya kipitia mshahara na mikopo yake kaamua kufanya biashara dhambi iko wapi?

Je amewazurumu wakulima?

Anyway kwa kuwa Korosho ni nyala ya serikali na kwamba lazima inunulie kwa utaratibu serikali uliowawekewa watu wake (stakabadhi gharani) na kwamba si ruhusa mtu kununua kotosho mmoja mmoja (sijui kwa nini ilizuiliwa) basi yatosha kusema kila mtu ataguswa kwa namna yake awamu hii!

Sitadhangaa mabadiliko ya viongozi hivi karibuni, Aziza asiwrpo katika kundi kama mtangulizi na aliyekuwa mkuu wa mkoa dada Halima Dendego ambaye bila shaka muda huu anaisoma namba kama wengine wengi!
Hatusemi abadilishwe tunasema aendane na mdundo wa ngoma wenzake wanacheza kwaito yeye anacheza kiduku hiyo itamkosti
 
Pole sana my dada mwana Lindi mwenzangu uishiye Newala.

Pole maana mwaka huu mambo yamekwenda ndivyo sivyo; nakusihi uusome mchezo jitahidi kufuata mdundo wa ngoma iliyopo uwanjani, achana na ujanja ujanja pia jiweke mbali na ndugu yako na rafiki wa familia yenu anaye-trend kwasasa.

Narudia kukupa pole kwa kukosa kangomba mwaha huu.

#VivaJPM
============
KWA AMBAO HAMJAELEWA IKO HIVI
Mkuu wa Wilaya ya Newala Aziza Mangosongo alinunua korosho changa aje uza soko likiwa zuri ila kwakua serikali imezuia basi amezitelekeza.
Tatizo la mazoea kwamba uongozi ni biashara.
WhatsApp Image 2018-12-11 at 15.07.16.jpeg
 
Nimeona anakamata sana korosho za magendo kumbe nae yumo. Hili nalo litapita.
 
Pole sana my dada mwana Lindi mwenzangu uishiye Newala.

Pole maana mwaka huu mambo yamekwenda ndivyo sivyo; nakusihi uusome mchezo jitahidi kufuata mdundo wa ngoma iliyopo uwanjani, achana na ujanja ujanja pia jiweke mbali na ndugu yako na rafiki wa familia yenu anaye-trend kwasasa.

Narudia kukupa pole kwa kukosa kangomba mwaha huu.

#VivaJPM
============
KWA AMBAO HAMJAELEWA IKO HIVI
Mkuu wa Wilaya ya Newala Aziza Mangosongo alinunua korosho changa aje uza soko likiwa zuri ila kwakua serikali imezuia basi amezitelekeza.
Conflict of interests ..? au ?!!
 
Back
Top Bottom