Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,725
- 2,008
Nashauri korosho hz zisitaifishwe Bali wawaachie zichomwe kienyeji ili nasi watu wa chini tuweze kula kwa jerojero. Zile mnazopark mnakula wazitoetuuu
Kama unaona aibu ngoja tukusaidie unamaanisha Mkuu wa Wilaya ya Newala Aziza Mangosongo alinunua korosho changa aje uza soko likiwa zuri ila kwakua serikali imezuia basi amezitelekeza..sio mbaya halafu jifunze kua muwazi sio kama unamsemea ugoni wifi yako kwa kakako ukiogopa semwa baadaePole sana my dada mwana Lindi mwenzangu uishiye Newala.
Pole maana mwaka huu mambo yamekwenda ndivyo sivyo; nakusihi uusome mchezo jitahidi kufuata mdundo wa ngoma iliyopo uwanjani, achana na ujanja ujanja pia jiweke mbali na ndugu yako na rafiki wa familia yenu anaye-trend kwasasa.
Narudia kukupa pole kwa kukosa kangomba mwaha huu.
#VivaJPM
Kue mpasho ndo sehemu yake!!Pole sana my dada mwana Lindi mwenzangu uishiye Newala.
Pole maana mwaka huu mambo yamekwenda ndivyo sivyo; nakusihi uusome mchezo jitahidi kufuata mdundo wa ngoma iliyopo uwanjani, achana na ujanja ujanja pia jiweke mbali na ndugu yako na rafiki wa familia yenu anaye-trend kwasasa.
Narudia kukupa pole kwa kukosa kangomba mwaha huu.
#VivaJPM
Pole sana my dada mwana Lindi mwenzangu uishiye Newala.
Pole maana mwaka huu mambo yamekwenda ndivyo sivyo; nakusihi uusome mchezo jitahidi kufuata mdundo wa ngoma iliyopo uwanjani, achana na ujanja ujanja pia jiweke mbali na ndugu yako na rafiki wa familia yenu anaye-trend kwasasa.
Narudia kukupa pole kwa kukosa kangomba mwaha huu.
#VivaJPM
Alafu kama huna habari kamili, acha kuleta street story humu.. Alafu hiyo profile pic ni yako? Kama umejiandaa kusubiria ku...mbwa..!! Usijali lkn ni kawaida tu..!!
Kivumishi acha kuvumisha. Unamaanisha nini sasa?
Sijui unamlenga nani lakini kwa hesabu ya haraka, siyo vizuri ukuu wa wialaya ufe kwa ajili ya korosho. Tani 50 kwa bei ya 3200 ni Tzs milioni takriban 160.
Akimaliza ukuu wa wilaya ana uhakika wa bonus ya TZS zaidi ya milioni 50. BAdo mshahara wa kila mwezi hadi kufikia hapo. Ongeza reputation na uwezekanao wa kupanda juu.
Ombi: Uko anonymous, unatumia pseudonym. HUna sababu ya kuficha majina na tatzio linalompata huyo mtu anayelinda ukuu wa wilaya.
kivumishi unatisha!!!Pole sana my dada mwana Lindi mwenzangu uishiye Newala.
Pole maana mwaka huu mambo yamekwenda ndivyo sivyo; nakusihi uusome mchezo jitahidi kufuata mdundo wa ngoma iliyopo uwanjani, achana na ujanja ujanja pia jiweke mbali na ndugu yako na rafiki wa familia yenu anaye-trend kwasasa.
Narudia kukupa pole kwa kukosa kangomba mwaha huu.
#VivaJPM
kangomba imekufa kifo cha mendeTena wanasiasa wa huko huko Kusini, waliojidai kutetea sana eti kusini wanaonewa. Kazi yao baadhi wameunda hadi makampuni kwa lengo la kutoa kibano kwa wakulima, bila hata huruma. Mwaka huu ngoja yawapate.
Baadhi ya Wakuu wa Wilaya badala ya kuwasaidia wakulima, nao wamekwenda kushindana na wakulima na kujiingiza kwenye kilimo cha korosho. Mkulima hana msaada. Magufuli piga kazi, kelele ni zao siyo za taifa.
Kumbe wamkoa...!!!Asante kaka
AZIZA MANGOSONGO AUKOSA UKANGOMBA WA MWAKA 2019Pole sana my dada mwana Lindi mwenzangu uishiye Newala.
Pole maana mwaka huu mambo yamekwenda ndivyo sivyo; nakusihi uusome mchezo jitahidi kufuata mdundo wa ngoma iliyopo uwanjani, achana na ujanja ujanja pia jiweke mbali na ndugu yako na rafiki wa familia yenu anaye-trend kwasasa.
Narudia kukupa pole kwa kukosa kangomba mwaha huu.
#VivaJPM
Ngoja nikamuulize mh mkuu wa wilaya ya newala bi Aziza Mangosongo kama ana hizi taarifa za huyo dada yako aliyetelekeza tani 50.Pole sana my dada mwana Lindi mwenzangu uishiye Newala.
Pole maana mwaka huu mambo yamekwenda ndivyo sivyo; nakusihi uusome mchezo jitahidi kufuata mdundo wa ngoma iliyopo uwanjani, achana na ujanja ujanja pia jiweke mbali na ndugu yako na rafiki wa familia yenu anaye-trend kwasasa.
Narudia kukupa pole kwa kukosa kangomba mwaha huu.
#VivaJPM
Yaani unatakaje niamini uzushi na hajawa muwazi!! Inakuwaje taarifa hizi nyeti za kumsaidia Mh. Rais unaziandika huku ukiwa na hofu kama Si uzushi na uvumi ni nini. Wewe mwambie mwenzio atueleze kiunagaubaga ni nini hasa na kafanyaje huyo Mheshiniwa (details)Kama wewe siyo mwana kusini huwezi kujua nini anamaanisha
Yaani unatakaje niamini uzushi na hajawa muwazi!! Inakuwaje taarifa hizi nyeti za kumsaidia Mh. Rais unaziandika huku ukiwa na hofu kama Si uzushi na uvumi ni nini. Wewe mwambie mwenzio atueleze kiunagaubaga ni nini hasa na kafanyaje huyo Mheshiniwa (details)
Mimi ni mwanakusini halisi wa pande za kumasasi kule mpindimbi halafu wee mmawia unaniletea zengwe !
Kuwa makini kwani kuwa nwanakusini haimaanishi hupaswi kuwajuza wenzako taarifa zenye uhakika
The listener
Ex Detective