Hili nashukuru sana, maana hivi sasa sijui ningalikuwa vipi.
"Hakika walioamini na wakatenda mema, wao watakuwa katika mabustani yenye neema, wakikaa humo milele." (Qur'an 10:9)
"Hakika Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu..." (Qur'an 3:19)
Huo ni mtazamo wako, wengine nao hujivunia kuzaliwa kwenye dini zao. By the way hakuna mkristo mlafi anayeshobokea vyakula vya waislam kwenye sikukuu yao. Kule kushiriki kula vyakula hivyo ni kushiriki ibada yao ya kipagani
Hili nashukuru sana, maana hivi sasa sijui ningalikuwa vipi.
"Hakika walioamini na wakatenda mema, wao watakuwa katika mabustani yenye neema, wakikaa humo milele." (Qur'an 10:9)
"Hakika Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu..." (Qur'an 3:19)