katika Application zangu Nilifanya Bila Kushauriwa
nilianza Na
Ardh cozi 3
IFM cozi 3
na SAUT cozi 2
Maajabu nimechaguliwa ya Mwisho yaani SAUT.... kilichoniudhi IFM wamekomba mpaka Watu Ambao Hawajakichagua Mamamamama hii Imenishangaza Sana inaonyesha Ni "Institute Of Failure Managemet...
yoyote Humu Angepangiwa IFM bila Kuichagua je ungejisikia Vizuri???
katika Application zangu Nilifanya Bila Kushauriwa
nilianza Na
Ardh cozi 3
IFM cozi 3
na SAUT cozi 2
Maajabu nimechaguliwa ya Mwisho yaani SAUT.... kilichoniudhi IFM wamekomba mpaka Watu Ambao Hawajakichagua Mamamamama hii Imenishangaza Sana inaonyesha Ni "Institute Of Failure Managemet...
yoyote Humu Angepangiwa IFM bila Kuichagua je ungejisikia Vizuri???
kweli akili ni nywele kwenye chuo ambacho niliombea nisichaguliwe ni SAUT wanachukua hata kama una principle 1 tuulize watu wa mwanza tukwambie.inaonyesha IFM wamekupa last prioprity ndo maana hukuchaguliwa coz huna vigezo vya kuwa pale.wale ambao hawakukichagua ila wamechaguliwa wamekizi kwa hyo hawawezi acha brilliants wakachukua kilaza kama ww.mi ningefurahi coz nimekidhi vigezo while mbwiga kama ww umeshindwa so wakaona SAUT ndipo panapokufaa.teh teh teh teh
wewe ndio kwanza umechaguliwa kuingia chuo, halafu unatukana watu, halafu wewe mwenyewe ulikichaguwa kwa course zaidi ya tatu, halafu wewe unatuambia ni institute of failures management, inatuonesha kwamba hata wewe ni failure ambaye matokeo umeyapata kwa sababu kuna mtu baraza la mitihani katia data ovyo kwenye computer ndio maana umepata hizo maksi zako. kwa hiyo wewe ni failure ndio maana ulikuwa unataka kuchaguliwa katika chuo wanachosoma ma failure.
lakini sisi tuliosoma na tunakula mishahara minono kwa ajili ya ifm tena kwa ajili ya cheti cha ifm mpaka wazungu kwao ulaya walikuwa wanatupa kazi za maana, sasa sijui kama wewe hata hiko cheti utapata kwa tabia hiyo.
lakini pia sikushangai sana nyinyi ndio wale mkienda kuomba visa balozi za nje kwa ajili ya kuenda kusoma huwa mnasema sylabus ya kibongo ni tooooo shalow
mkuu mi nakuunga mikono sio mkono...naomba kuungwa mkono uyu kiumbe apewe BANN
katika Application zangu Nilifanya Bila Kushauriwa
nilianza Na
Ardh cozi 3
IFM cozi 3
na SAUT cozi 2
Maajabu nimechaguliwa ya Mwisho yaani SAUT.... kilichoniudhi IFM wamekomba mpaka Watu Ambao Hawajakichagua Mamamamama hii Imenishangaza Sana inaonyesha Ni "Institute Of Failure Managemet...
yoyote Humu Angepangiwa IFM bila Kuichagua je ungejisikia Vizuri???
Hukupangiwa IFM kwa sababu hukuwa na sifa za kujiunga na hicho chuo.Ndiyo maana SAUT ukiwa na hata division two ya form six unaweza kuchaguliwa kusomea sheria direct, lakini UDSM huwezi kuchaguliwa sheria direct ukiwa na division two.katika Application zangu Nilifanya Bila Kushauriwa
nilianza Na
Ardh cozi 3
IFM cozi 3
na SAUT cozi 2
Maajabu nimechaguliwa ya Mwisho yaani SAUT.... kilichoniudhi IFM wamekomba mpaka Watu Ambao Hawajakichagua Mamamamama hii Imenishangaza Sana inaonyesha Ni "Institute Of Failure Managemet...
yoyote Humu Angepangiwa IFM bila Kuichagua je ungejisikia Vizuri???
wote nyie mabwege 2.mnajua chuo kzur nyie o ndo hvyo mshapangiwa hadi kazi?mkuu mi nakuunga mikono sio mkono...
katika Application zangu Nilifanya Bila Kushauriwa
nilianza Na
Ardh cozi 3
IFM cozi 3
na SAUT cozi 2
Maajabu nimechaguliwa ya Mwisho yaani SAUT.... kilichoniudhi IFM wamekomba mpaka Watu Ambao Hawajakichagua Mamamamama hii Imenishangaza Sana inaonyesha Ni "Institute Of Failure Managemet...
yoyote Humu Angepangiwa IFM bila Kuichagua je ungejisikia Vizuri???
Du bist so dumm, aufgeschlossen und und Sie geben den törichten idear. bin sicher, Sie werden fallen