Nashindwa kutumia condom

Usiwa na wasiwasi, ARV zinamaliza wadudu watembeao kwenye damu lakini haina uwezo wa kuuwa wale wanaojificha kwenye chembe hai za mwili. Novemba mwaka huu Australia wametangaza kuwa kwa majaribio waliopewa dawa za kupunguza utemezi wa pombe (alcohol dependence), dawa hiyo imeweze kuamsha virus vilivyokuwa vimelala. Hii ni hatua kubwa katika ufumbuzi wa tiba ya UKIMWI.
 
kama umemuamini hadi kuwa nae faragha sioni sabab ya kutumia condom,hivi kama ukijua kua ni muathirika utashare nae kwa kutumia condom?
 
Jaman kwa wale mafund msaidien chipukiz mpya uyo mnapoteza kipaj ujue...!
 

Inaogelea kwenye condom ufunge na kamba au unatishe na super glue usiiiipige mlegezo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…