Nashindwa kupanga bajeti ya mwezi, nifanye nini ili niweze?

mimi nilikua kama wewe.lakini nilichofanya;
1.nilikuwa naenda disco kila wkend sasa naenda mala moja kwa mwezi.
2.simu sipigi natumia sms xtreme.
3.nmepunguza mademu.
4.nikitoka job naenda nyumbani moja kwa moja.zamani nlikua nasubili bar foleni ipungue.
napika mwenyewe badala ya kula kwenye mahotel.
5.michango ya harusi nmepunguza kutoa.
6.nimeachana na kukodi taxi.napanda dala dala.
7.nmefungua akaunti ambayo kila mwezi naweka 20% ya mshahara kama fixed account.
8.nmefungua genge.mia
 
Ninakupa simple formula, ikumbuke maishani mwako!
Chukua mshahara wako wa sasa ugawanye kwa siku 30 utapata wastani wa kiasi gani unaingiza kwa siku! Mfano: kutokana na mshahara wako (Tsh. 500000) inaonesha unaingiza wastani wa Tsh. 17,000 kwa siku.
Hakikisha matumizi yako kwa siku hayazidi hiyo pesa kwa siku. Lakini kama unafanya savings inabidi kiwango kiwe chini kidogo.
 
asante sana LATN na TULIZO kwa michanganuo ya michango yenu makini, hakika mmetoe darasa la nguvu sana. Big up!
 
Pole ndugu yangu. yaani laki tano yote hiyo unashidwa kuipangia budget? au unahonga wewe! mimi napata hiyo hiyo (take home). 20% kakwambia rahisisha matumizi yako. we tatizo lako unataka uishi kama mtanzania (maisha bora - masaki,oysterbay mbezi beach etc.) badala ya kuishi kama mbongo (kwetu mbagala, tandale, kwa mtogole etc). Jaribu kuishi hivyo uone kama hiyo laki 5 yako hutabaki nayo.
 
<br />
<br />
yah kwa hiyo style ya mbongo itabaki laki nne unusu hahaaaa
 
Pombe hunywi, Sigara huvuti, Je na ile nyumba ndogo unayohudumia mbona hujaamua kuiacha? Pamoja na hayo kumbuka kwamba hayo ndiyo maisha bora kwa kila mtanzania tuliyoahidiwa na prezida wetu kipenzi KJ.
 
nakubaliana kabisa hiyo hela ni ndogo, kama ana gari na anaishi mbezi kimara anafanya kazi posta, anatumia petroli ya tshs 15000 minimum kwa siku, hiyo ni sawa na tuseme anaenda kazini siku 6 kwa wiki 6x4=24 days 24 x1500=360,000 hayo ni mafuta bado service ya gari sasa hapo atasave nini?? bado kula na matumizi kibao. halafu ikumbukwe gari siku hizi sio anasa jinsi usafiri ulivyokuwa wa kugombania huko kwenye daladala ni risk tupu, magonjwa ya kuambukizwa, wizi, waweza hata lipizwa visasi na wabaya wako wakakupaka hata sumu usijue ukafa taratibu.
 
Anza kutengeneza lunch yako na kuchukua kazini. You will be surprised how much you can save

kwa kiasi hicho, habari ya lunch sahau, wengi tunaoangukia katika mshahara huo, lunch ni msamiati tuliokwisha usahau.
 

duh nimeipenda hii....... kuanzia sasa ni mwendo wa kujibana tu. nakaa mbali na wanawake
 
Na mimi nilikuwa humo humo kwenye kukosa mpangilio mzuri wa matumizi, ila nimegundua tatizo langu liko wapi. Ndio naanza rasmi mwezi huu, nikirudi nitawapa taarifa ya nilipofikia.
 

Ushauri mzuri sana huu.
Me niliwahi kuambiwa nafuja hela kwa sababu hata kanisani sitoi fungu la Kumi.
Jitahidi utoe pia,itakusaidia kushape budget yako
 

Safi sana mkuu, umenipa elimu.
 
Mi siku zote huwa napinga mtu anayesema, eti kadri mshahara unavyoongezeka, ndivyo na matumizi uongezeka, hakuna ukweli lkn kama ukiamua, tatizo la wengi utakuta kama usafiri wake ulikuwa daladala basi anaanza kutumia tax n.k n.k,kwanini us I ends led na daladala? Ili usave Bela kwa ajili ya mambo mengine?,kingine ni kwamba kuna watu kama wamepata hela mtaa mzima utawajua, hizi ni dalili mbaya katika matumizi ya hela, inapendeza sana na ni vizuri mtu unaendelea na maisha yale yale wkt mshahara haujapanda, kikubwa ukijua kuwa unafanya hivyo kwa lengo la Ku save hela, ili baadae ufanye mambo ya msingi yatakayo kuendeleza katika maisha yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…