Nashindwa kumwelewa huyu dada

Ushauri wangu ni usimpe nafasi kubwa sana katika moyo wako(kiti ambacho kitakuwa kigumu coz unampenda kwa thati), coz inavyoonekana bado yuko fifty fifty kwako. inawezekana jamaa yake amemkorofisha akaamua kukutafuta ili kupooza machungu. so siku jamaa akirudi utakuwa huna chako then utauimia mara mbili zaidi ya mwanzo. Yaani from my experience hii ni ishu ambayo nimewahi kukutana nayo na ilinichukua muda kurudi kwenye normal. cha msingi kama utaweza achana naye tu coz atakuja kukusumbua.
 
Ushauri wangu ni usimpe nafasi kubwa sana katika moyo wako(kiti ambacho kitakuwa kigumu coz unampenda kwa thati), coz inavyoonekana bado yuko fifty fifty kwako. inawezekana jamaa yake amemkorofisha akaamua kukutafuta ili kupooza machungu. so siku jamaa akirudi utakuwa huna chako then utauimia mara mbili zaidi ya mwanzo. Yaani from my experience hii ni ishu ambayo nimewahi kukutana nayo na ilinichukua muda kurudi kwenye normal. cha msingi kama utaweza achana naye tu coz atakuja kukusumbua.

Thanks ndenga, hayo ndo maneno. i like this.
 
Huu ushauri mwingine ni kutumbukizana mashimoni changanya na za kwako.

Anakufaa sana huyo. Hawa wasichana wa maharage ya Mbeya siyo ishu. Mwanamke lazima awe na msimamo bwana. Mambo ya kutongozwa leo kesho ameshavua chupi siyo ishu!

As long as hajawahi kukuomba omba hela, yaani taking advantage of you basi anakufaa huyo. Take my words!
 
Jamani ni miezi michache iliyopita nilimwomba dada mmoja uhusiano na nilimpenda kweli. Akaanza malingo mara hapokei simu , mara majibu mkato etc. nilileta hapa jamvini watu wakasema hiyo ni dalili za kupigwa kibuti. siku moja nikamweleza ukweli kuwa kwanini anaifanyia hivyo. akaniambia yeye amesha pendwa . mikamwuliza kweli inatoka moyoni akasema kabisakabisa sinampango na wewe.
nikampigia siku ya pili kumjulia hali akaniambia analala kwa sababau tuu anahoma. nikampigia siku nyingine tena akaniambi hajeenda hata kanisani eti hajisikii vizuri. nikamwuliza isije ikawa umefanya maaumuzi yasiyo sahihi akanihakikishia homa yake haihusiani kabisa na uhusiano wetu.

Nikampigia tena siku nyingine hakupokea, nikajua kweli hapa sina changu.

Nikakaa kama siku ishirini akapiga simu eti kunisalimia. nikamwuliza hujambo , akaniambia ati bado anahoma na amekuwa na homa kwa muda mrefu toka anipige kibuti. baadaye akanieleza ukweli kuwa ni kwa sababu nilikuwa simpigii simu.

Nikamwuliza shemeji yangu aliye kupenda hajambo, ananiambia eti tumeachana na hayupo kabisa. na haraka akaniuliza kama nimesha pata mchumba??.

Nimeendelea naye lakini nakuta kama huu ni utoto. Nimfanyaje maana anaonyesha kunipenda lakini hataki nijue kuwa ananipenda.
msaada wenu wakuu maana simwelewi ,wanaojua kusoma mambo nielezeni.
asanteni.

do you prefer being second when it comes to love?
nakushauri usipende kuwa na mtu ambaye anakuwa na wewe kwa sababu tu wewe ni kituo
anakuwa na wewe baada ya mahusiano yake ku feli.
 
kawaida ya anaependwa akajua haachi kujishaua ,pengine anakupenda ,lakin wewe mpuuze la kama ana kupenda ata kuambia .lakin usijioneshe udhaifu wako tena ,kwake yy , kwani mambo hayo yapo sanaa ,na kwa wanawake na wanaume, be stong
 
Love takes time, yawezekana kwa sasa hisia zake ndio yipo kwake. Usipuuze!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom