daviey69
JF-Expert Member
- Aug 12, 2013
- 2,234
- 873
Za Asubuhi wote.
Ni hivi mimi nimepangisha chumba maeneo flani hivi, na nyumba hiyo ilitengenezwa maalumu kwa ajili ya familia kwahiyo ina sebule ambapo mlango mkubwa upo wa watu wote(wapangaji wanne ambao kati yetu wawili wanafamila zenye watoto na familia moja kati ya hizi zenye watoto alikodi chumba kimoja ila akaomba atumie na sebule of which hakuna aliyepinga) hupitia hapo, ki kawaida siku za kazi huwa nalala kuanzia saa mbili na nusu kwa ajili ya kupata muda wa kutosha wa kupumzika na week end ndo naamsha popo tena si kidogo!
Tatizo linakuja pale ambapo wapangaji wenzangu haswa wenye familia, ikifika kuanzia saa moja watoto ndo wanakuwa kama ndo muda wao wakucheza au saa ingine ndo kupigana au kupigwa na wazazi wao baada ya kutokuoga ama kukataa kuoga!
Muda mwingine mama zao kwenye saa tatu au nne ndo wamemaliza kupika na kurudisha majiko na vitu walivyopika sebuleni, ghafula unasikia ngriiiiiiiiiiiiiii ngriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ngriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii wanatengeneza juice mda huo mara mwingine kaweka movie tena za kibongo(ambazo mara watu wanalia, mara wanacheka, mara mziki mkubwa usioendana na maudhui ya movie) kwa sauti ya juu mpaka mtu kama ulikuwa unasinzia unamka ghafla ukijua kuna watu wanagombana sebuleni!
OMBI: Jana baada ya kuchoshwa na hali hiyo nikatoka sebuleni TV zimewashwa mbili, familia moja inaangalia movie yenye watu wanaolia kila mda na kwa sauti ya juu upande mmoja wa sebule na famila nyingine inaangali channel five na huku wanatengeneza juice kwa zile mashine za brenda sijui grenda, nikachoka..... nikawaomba wapunguze sauti na nikarudi kulala lakini hawakupunguza mpaka baada ya kama dk 15 hivi!
Hali hii ikanipelekea kuwaza nipigishe shoti huku ndani kwangu cable zote za ukutani na taa zizimike? ila nikashindwa jinsi gani ntafanya zoezi hilo lisiwe na madhara sana kwa vyombo na liwe sustainable?
Nishaurini jinsi ya kufanya zoezi hilo ama otherwise....sio siri nakereka kinyama maana tatizo ni la kila siku!
Ni hivi mimi nimepangisha chumba maeneo flani hivi, na nyumba hiyo ilitengenezwa maalumu kwa ajili ya familia kwahiyo ina sebule ambapo mlango mkubwa upo wa watu wote(wapangaji wanne ambao kati yetu wawili wanafamila zenye watoto na familia moja kati ya hizi zenye watoto alikodi chumba kimoja ila akaomba atumie na sebule of which hakuna aliyepinga) hupitia hapo, ki kawaida siku za kazi huwa nalala kuanzia saa mbili na nusu kwa ajili ya kupata muda wa kutosha wa kupumzika na week end ndo naamsha popo tena si kidogo!
Tatizo linakuja pale ambapo wapangaji wenzangu haswa wenye familia, ikifika kuanzia saa moja watoto ndo wanakuwa kama ndo muda wao wakucheza au saa ingine ndo kupigana au kupigwa na wazazi wao baada ya kutokuoga ama kukataa kuoga!
Muda mwingine mama zao kwenye saa tatu au nne ndo wamemaliza kupika na kurudisha majiko na vitu walivyopika sebuleni, ghafula unasikia ngriiiiiiiiiiiiiii ngriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ngriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii wanatengeneza juice mda huo mara mwingine kaweka movie tena za kibongo(ambazo mara watu wanalia, mara wanacheka, mara mziki mkubwa usioendana na maudhui ya movie) kwa sauti ya juu mpaka mtu kama ulikuwa unasinzia unamka ghafla ukijua kuna watu wanagombana sebuleni!
OMBI: Jana baada ya kuchoshwa na hali hiyo nikatoka sebuleni TV zimewashwa mbili, familia moja inaangalia movie yenye watu wanaolia kila mda na kwa sauti ya juu upande mmoja wa sebule na famila nyingine inaangali channel five na huku wanatengeneza juice kwa zile mashine za brenda sijui grenda, nikachoka..... nikawaomba wapunguze sauti na nikarudi kulala lakini hawakupunguza mpaka baada ya kama dk 15 hivi!
Hali hii ikanipelekea kuwaza nipigishe shoti huku ndani kwangu cable zote za ukutani na taa zizimike? ila nikashindwa jinsi gani ntafanya zoezi hilo lisiwe na madhara sana kwa vyombo na liwe sustainable?
Nishaurini jinsi ya kufanya zoezi hilo ama otherwise....sio siri nakereka kinyama maana tatizo ni la kila siku!