Nafurahi kutambua kilele cha uelewa wako,mimi nimezaliwa,nimelelewa na kukulia ndani ya familia ya kikristo na hata nilipojitambua nimeamua kuendelea hivyo,but nimefanya utafiti sana wa mambo ya dini islamic,christianity,hindu,budha,judaism,etc but elewa kuwa hiyo ni salaam ya kiarabu na haina element hata 0 ya uislam ila tu imekuwa iki2miwa sanasana na wenze2 waislam,samahani sikutaka kusema yote hayo ila tu ni katika kueleweshana