Nashindwa kuelewa hapa mnijuze

Nashindwa kuelewa hapa mnijuze

Mahondaw

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
72,016
Reaction score
177,327
Za weekend wana MMU!

Sina mengi zaidi ya kutaka kujua hivi mtu akikutumia meseji au hata tu kukupigia kukuambia kuwa mimi nawewe basi fanya yako nifanye yangu au wewe uwe huru tu masuala ya mahusiano yaishe labda ubakie urafiki wa kawaida tu.

Ahaaa ok ukapata ujumbe ukauelewa vizuri ukakaa kimya hata usimjibu chochote ilhali his/ her message sent delivered and understood.

Wee kimyaaaaa sekunde dakika masaa siku zinasonga huna habari nae mwisho wa siku mameseji kibao ya kukulaumu ee si unaona sasa ulikua hunipendi ooh sikuhizi hunifeel si bure unamtu mwingine maigizo kibao mara akufowadie sms ulizokua unamtumia enzi za mapenzi kunoga mara apige kulaumuuuui wewe kimyaa hata hujali.

Samahani huwa mnatarajia kupewa jibu gani labda na sms umetuma mwenyewe tena kiswahili kinachoeleweka? Au ndo kutishia ?
 
Alibeep wakati hakujiandaa kupigiwa. Kandamiza tu ili siku nyingine atafute msaada wa jinsi ya kujitambua.
 
Alibeep wakati hakujiandaa kupigiwa. Kandamiza tu ili siku nyingine atafute msaada wa jinsi ya kujitambua.

aaaarrrggh inaboa sana ukute alivojitoa tu ukakaa kaa lkkaja zali la mentali mambo yamejiset mapichapicha yanaanza kukuharibia unaonekana siyo kabisa
 
aaaarrrggh inaboa sana ukute alivojitoa tu ukakaa kaa lkkaja zali la mentali mambo yamejiset mapichapicha yanaanza kukuharibia unaonekana siyo kabisa

nyie ndio mnagongwaga ghafla ghafls kama ziara za PM bandarini
 
"mimi na wewe basi' ni maneno niliyokuwa naavoid sana kutumia hata kama ni utani hatujagombana cho chote. Nilikuwa nikisema hivyo au nikiandika hivo namaanisha kweli kweli, yaani hapo nshaamua sirudi nyuma tena.

Na mimi nilikuwa nikiambia au nikitumiwa nayachukulia very serious na kuheshimu maamuzi yake. Nami nilikuwa nakakaa kimya hivyo hivyo sijibu chochote, tena na namba yako nadelete kabisa. So ukilogwa unipigia utashangaa nitakavyopokea na kukuuliza we nani..........nikishajua ni yule yule nahang down, no more stories
 
Sijui inakuwaga ni "pepo", hakyanani me sielewagi. The moment umechoka kumbembeleza, umekomaa mwenyewe ushaanza kumsahau ndo unaona mtu huyo na milonjo yake. Baby baby nyingi, afu bahati mbaya ule upendo wa awali ukipotea kuurudisha ni wachache sana ndo wanawezaga. Yani unabaki kujiuliza kuna kipi kipya kilichomrudisha. You just listen to your heart my dear basi
 
Sijui inakuwaga ni "pepo", hakyanani me sielewagi. The moment umechoka kumbembeleza, umekomaa mwenyewe ushaanza kumsahau ndo unaona mtu huyo na milonjo yake. Baby baby nyingi, afu bahati mbaya ule upendo wa awali ukipotea kuurudisha ni wachache sana ndo wanawezaga. Yani unabaki kujiuliza kuna kipi kipya kilichomrudisha. You just listen to your heart my dear basi

Tofauti ya theory na practical coaching iko huku!
 
Hako ndio kamchezo kangu. Nakula ndumu kama sio mimi,huku roho ikiuma chini kwa chini, mwisho wa siku hawa wa dizaini hii huwa wanarudi kuomba msamaha.
 
kuna watu wanapenda sana kubembelezwa. Mtu kama huyo unaendelea kumkaushia tu. yeye alianza wewe unamaliza
 
Katishia kujamba huyo.......

Tena akikwambia hunipendi mjibu ndio sikupendi...

Asikuchoshe
 
"mimi na wewe basi' ni maneno niliyokuwa naavoid sana kutumia hata kama ni utani hatujagombana cho chote. Nilikuwa nikisema hivyo au nikiandika hivo namaanisha kweli kweli, yaani hapo nshaamua sirudi nyuma tena.

Na mimi nilikuwa nikiambia au nikitumiwa nayachukulia very serious na kuheshimu maamuzi yake. Nami nilikuwa nakakaa kimya hivyo hivyo sijibu chochote, tena na namba yako nadelete kabisa. So ukilogwa unipigia utashangaa nitakavyopokea na kukuuliza we nani..........nikishajua ni yule yule nahang down, no more stories

ukute sasa ulikua bado unamfeel ila ndo keshaamua basi tena unalia na kuugulia namoyo wako kimya kimya hatimaye unasahau nakutafakari wati neksti eti gafla tu mtu anafufuka na ohh ah ee unajua blah kibao nawewe unaanza kumuonea huruma what the heck is that??
 
Back
Top Bottom