Mke wangu kwenye pesa wala sina haja ya kuweka alarm, hata sasa 10 usiku ukimwambia utaamshwa hadi ahakikishe umejiandaa na kuwahi. Chezea pesa weye
basi jua kuwa yeye ni sehem ya tatizo lako ambalo unatakiwa uli atend kila linapokupata, huyo hafanya kosa mida hiyo hapo yupo kwenye kukuchunguza jinsi utakavyo kuwa tayari kujali mambo ya kifamilia pindi mtakavyoowana. kwani anajua kabisa hata utakavyomuowa bado mipira itakuwepo sasa anapima je siku timu yako ikiwa inacheza mech ya fainali na pakatokea tatizo la kifamilia utaweza kubaki home kulitatua? au hakuna tatizo lakini wife wako kakutaka ubaki mstarehe starehe zenu je utakuwa tayari? dogo anza kubadirisha upeo wa kufikiria hasa unapozungumzia mambo ya kifamilia unless unamtumia tu na huna mpango nae
AU NAKUSHAURI UACHANE NAE MAPEMA NA UTAFUTE AMBAYE MTAWEZA KUENDENA KWA TABIA ILI MBELE YA SAFARI MSISUMBUANE
mzee wewe ndio huna hoja, ungekuwa na hoja zilizotulia ungeweza kuchagua.
kwa kuwa uliomba usaidiwe kuchagua-mi nakushauri chagua mpira...sasa unataka tukusaidieje, wewe unayefikri kuwa una hoja?
You are still a boy kama unamuona huyo dada ni selfish. Jaribu kusubstitute huo mpira na, mfano taarab. Mwenzako anaependa taarab kweli, hawezi kosa na anakulazimisha muende wote kila weekend, ringtone taarab, stereo nyumbani taarab, taarab concert every weekend toka akiwa mtoto. Unaweza ukaheshimu hobby yake na mka-share lakini huoni kama itakuwa imezidi kidogo mpaka upangiwe ratiba ya kuonana ambayo haiingiliani na shoo Zake?
You are still a boy kama unamuona huyo dada ni selfish. Jaribu kusubstitute huo mpira na, mfano taarab. Mwenzako anaependa taarab kweli, hawezi kosa na anakulazimisha muende wote kila weekend, ringtone taarab, stereo nyumbani taarab, taarab concert every weekend toka akiwa mtoto. Unaweza ukaheshimu hobby yake na mka-share lakini huoni kama itakuwa imezidi kidogo mpaka upangiwe ratiba ya kuonana ambayo haiingiliani na shoo Zake?
Kulazimishana ku-share hobbie yako huo ni udikteta.., lakini mwenza kujifunza hobbie yako ili ku-share companionship ni considerate...
Kumwambia mtu achague either hobby yake au wewe.... its more than selfishness its damn right childish, na matokeo yake ni kuwa na mtu kimwili lakini sio kifkra.., busara inasema tune your plans mpira hauchezwi 24/7 fanya mambo mengine wakati wa mpira au kuwa nae muangalie wote, au fanya hobbie zako wakati yeye anafanya zake
Mueleze kua unapenda mpira kuliko yeye sababu raha unazozipata kwenye mpira kwake huzipati.....
thanx nimekuelewa ila mbona mwanzo alikubali wakati 2naanza, kwaiyo akitokea m2 yuko available anytime she want ataniacha? Is this fair? Nw i'm scared
Habari waungwana,
Nimeanza kazi moro nina kam miezi 9 na nimeanzisha uhusiano na binti mmoja alie jaaliwa uzuri miezi 3 iliyopita. Yeye yupo UDSM mwaka wa 2. Kwa bahati nimeamishiwa kikazi DSM. Mimi ni mpenzi sana wa mpira na analijua hili. Kutokana na kazi siku za kawaida nipo bize sana na yeye bize na masomo, weekend nipo free na yeye pia
Tatizo: Huwa anakuja kunitembelea weekend jioni muda ambao mechi nyingi zinachezwa na mimi bila kucheki mpira nakosa raha kabisa na anafahamu. Muda mwingine mechi zikianza jioni ni mpaka usiku, na nikisema nisiende kuangalia mpira nikae nae muda mwingi nacheki update za matokeo ya mechi kwenye simu. Hali hii imekuwa ikimkera na kukasirika mpaka imefikia hatua ameniambia nichague moja yeye ama mpira. wote wanakamilisha furaha yangu.sijui chafanya hadi sasa
msaada waungwana
Maskini.... it seems unampenda sana, sasa kwanini usipange ratiba zako vzr ili mmpate muda wa kuenjoy?Ni kweli wkends mechi ni nyingi utakuata la liga, bundesliga sijui uefa, juzi kulikuwa na afcon n.k, mi nakushauri hivi, si lazima uangalie mechi zoote zinazochezwa siku hiyo, anagalia mechi moja ili bibie nae apate muda wa kuinjoi na mysweetheart wake bhana
unapopendwa shikilia ..we wenzio kila siku wanapost matatizo wanayokumbana nayo kutoka kwa wapenzi kwa kutopendwa wewe mtu anakupenda unajitoa ufahamu ......eti soka zaidi..........baba chagua mechi za kuangalia chonde chonde
Kulazimishana ku-share hobbie yako huo ni udikteta.., lakini mwenza kujifunza hobbie yako ili ku-share companionship ni considerate...
Kumwambia mtu achague either hobby yake au wewe.... its more than selfishness its damn right childish, na matokeo yake ni kuwa na mtu kimwili lakini sio kifkra.., busara inasema tune your plans mpira hauchezwi 24/7 fanya mambo mengine wakati wa mpira au kuwa nae muangalie wote, au fanya hobbie zako wakati yeye anafanya zake
ndo yake maanathanx itabidi 2adjust ratiba yake