Nashindwa kuchagua....!


Manchester unaongelea mji au timu?
kama ni timu kwa kizazi hiki hauta eleweka.
Itakua rahisi ukisema "United" au "City"....

Timu zote saivi zimeacha jina la "manchester" maana hamna anae
tambulishwa nalo.

Japo ukitaja "City" utaeleweka kama una maanisha "Manchester City"
lakini kuna timu zime dharauliwa hapa kwa ujio wa kasi wa City.

Timu kama Swansea,Stoke,Norwich, zinakua zime onewa kwa kunyang'anywa
majina yao ya mwisho.

Pint ni kwamba,Manchester haitambulishi timu saivi kama zamani.
It's either "City" or "United"
 
jali hisia za mwenzio, mfanye nae apende mpira taratibu mtakua mnaangalia wote home
 

nimekusoma ila mwanzo 2naanza nilimwambia nilimwambia napenda mpira alikubali lakin amenigeuzia kibao alaf sio kwamba nisipoangalia mechi labda hazitachezwa hapana ni satsfication ninayoipata ndo muhimu pia nimeanza kuangalia mpira since i was kid,ni kitu ambacho nimekizoea
 
mh! kulinganisha HISIA ZA MPIRA na HISIA ZA MAPENZI??????????????...................... MWONE DAKTARI HARAKA ... something wrong somewhere
 
jali hisia za mwenzio, mfanye nae apende mpira taratibu mtakua mnaangalia wote home

kuna siku nilienda nae ila yale maneno yaliyokuwa yanatolewa na mashabiki pale alishindwa kuvumilia ataki tena kwenda na anaisi natengeza mazingira ya kupata marafiki ambao sio
 

nadhan amekuelewa mkuu
 
mh! kulinganisha HISIA ZA MPIRA na HISIA ZA MAPENZI??????????????...................... MWONE DAKTARI HARAKA ... something wrong somewhere

nadhan hujanielewa ivo ni vi2 viwili tofauti na ni complement kwangu
 
kuna siku nilienda nae ila yale maneno yaliyokuwa yanatolewa na mashabiki pale alishindwa kuvumilia ataki tena kwenda na anaisi natengeza mazingira ya kupata marafiki ambao sio

nazungumzia nyumbani au mjitahid kwenda sehem za wastaarabu ila jiandae kwa gharama
 
hamna mwanamke anapenda kusikia hayo maneno
Umeonae eeeh! sasaamua wape time nusu nusu,jengine ivi mpira unakuaga kila siku za weekend? kama ndio sasa mtakua na mda wakupanga maisha kweli kama wewe mpenzi wa mpira kiasi hicho? tena inaelekea wewe ukiangalia mpira unaweza mpiga mtu teke wakati wakuangalia unavyokua na munkarrr..
 
nampenda sana 2,nikimwambia aje anasema asbh ana discusion, assgmnt zakufanya

Katika weekend, one day for mupenzi no mpira, the other day mupira na mupenzi. utasolve. you cant be in 2 places @ the same time.
 
nazungumzia nyumbani au mjitahid kwenda sehem za wastaarabu ila jiandae kwa gharama

nipo kwenye mchakato nataka niweke ili niwe nachekia hm, i want her 2 be happy
 
And now you have to let go of your utoto. Si umefaidi miaka 20+ ya mpira ukianza kumpa mwenzio nafasi utakufa? Jiandae kutemwa usipobadilika. Yaani I spend my whole week at school then on weekends I go watch my boyfriend watch soccer??hahahah. itabidi utafute msichana anaependa mpira, huyu hamtaelewana.


 
Katika weekend, one day for mupenzi no mpira, the other day mupira na mupenzi. utasolve. you cant be in 2 places @ the same time.

thanx ila akihisi status yake umemueka at the same level na mpira ilo si tatizo lingine?
 

no way 2kaachana kwa sababu hii she give me everything and respect too,alaf nyie wanawake bwana kwani m2 akiangalia soccer ndo hakujali?tatizo mnajali furaha yenu 2
 
kwani timu unayoifagilia unagawana nayo mapato ama inakuaje?
 

sina huo munkari aisee, mpira upo na maisha lazima yaendelee ninachotaka mimi everyone 2 be hapy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…