Nashindwa hata kuelewa jamani

Nashindwa hata kuelewa jamani

young_mesult

Senior Member
Joined
Oct 11, 2012
Posts
133
Reaction score
35
Kwanza nawapa heli ya mwaka mpya wana JF...Wenzangu me navyojua kwa kawaida mwanaume akifika kileleni umwaga manii,sasa tatizo langu ni kwa jinsia ya kike..hivi wakifa kileleni huwa inakuaje,pili kwa kawaida utumia muda gani kufika huko!maana hapa mtaani tunadanganyana sana.
 
Kwanza nawapa heli ya mwaka mpya wana JF...Wenzangu me navyojua kwa kawaida mwanaume akifika kileleni umwaga manii,sasa tatizo langu ni kwa jinsia ya kike..hivi wakifa kileleni huwa inakuaje,pili kwa kawaida utumia muda gani kufika huko!maana hapa mtaani tunadanganyana sana.

haina muda maalum hiyo ni wewe tu na maujuzi yako!!!!!
 
Wewe una mpenzi kwanza?Kama unae mulize kama huna mtafute utapata jibu.Penda kushirikisha ubongo na sio nywele
 
naye anamwaga kama wewe, na akiwa anaitafuta kibo utamuona tu anavyohangaika kama upo nae kimawazo na kimatendo utamuona tu then anashuka taratibuuuuu
 
Kwanza nawapa heli ya mwaka mpya wana JF...Wenzangu me navyojua kwa kawaida mwanaume akifika kileleni umwaga manii,sasa tatizo langu ni kwa jinsia ya kike..hivi wakifa kileleni huwa inakuaje,pili kwa kawaida utumia muda gani kufika huko!maana hapa mtaani tunadanganyana sana.

umejuaje kama mnadanganyana??? kwahiyo ukweli unaujua eeh? haya tuambie.
 
Mda wowote hufikia keleleni kutegemeana na support na ujuzi wako. Na yeye humwaga kama wewe tu.
 
Muulize mpz wako huwa anajisikiaje? Atakavyokwambia uje utupe jibu hapa tutakulisha matango tu, kila mmoja ana namna yake...
 
Jamani mtoa mada kama namuona hapo mtaani.
kawaambia wenzake subirini niiingie jamiiforum nikawaulize kisha nitawapa majibu.
Tena utakuta kaanzisha topic na wenzie wanamshadadia kabisa.
Maskini kaja huku kapata cha mbavu sijui atawajibu nini??
Utoto bwana
 
Atatoa maziwa kunako k yake, km mchunguzi utajua tu maana wengine wako sailensa huwezijua kumbe tayari saa nyingi.
 
Hahahahahahaa dogo umenifurahisha sana kwa swali lako zuri ambalo wengi wanaweza kulibeza:

Mapenzi ni sanaa, na sanaa ni ubunifu. Sasa wewe umebuni nini cha kuweza mfanya mpenzi wako afike hapo unapopataka.

Fuata kanuni za "lady's first", then wewe ndio uwe wa mwisho, kubali kushindwa kwa kupigwa bao 2-1 au 3-1 katika round ya kwanza au 1st half. Then jitahidi kusawazisha katika 2nd half. Sio lazima mtoke draw...la hasha. Sisi wanaume, wengi wetu ni "hit n run" lakini kwa wadada mambo ni tofauti kabisa "slow motion"zao ndio ushindi wao. hebu we dogo ni-PM nikupe full darasa ili next time usiwasumbue wakubwa zako.

Kwanza nawapa heli ya mwaka mpya wana JF...Wenzangu me navyojua kwa kawaida mwanaume akifika kileleni umwaga manii,sasa tatizo langu ni kwa jinsia ya kike..hivi wakifa kileleni huwa inakuaje,pili kwa kawaida utumia muda gani kufika huko!maana hapa mtaani tunadanganyana sana.
 
emu ngoja kwanza nikasome upyaaaaaaa, nikirudi nondo ntakuambia wanamwaga nn....thenksi alot to google
 
naye anamwaga kama wewe, na akiwa anaitafuta kibo utamuona tu anavyohangaika kama upo nae kimawazo na kimatendo utamuona tu then anashuka taratibuuuuu
habari yako mwalimu Suprise
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom