ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 2,772
- 5,847
Ushauri wa kitoto huu. TFF hawapo kwa ajili ya kugawia point Simba na yanga.Mwezi ujao Ligi inaisha na hakuna lolote linaloendelea Kwa mechi iliyogomewa na kuhairishwa Kwa wakati mmoja, naongelea mechi ya Simba na Yanga.
Kwakuwa May 25/2025 Ligi inaisha , basi kutatua mgogoro huu TFF watoe Suluhu katika mechi hiyo, ikiwa yanga apewe point moja bila goli na Simba apewe point moja bila goli, the Ligi iishe.
Mana tutaenda Afcon ama Ligi itaisha ila mgogoro haujaisha, wape Hali sawa ya point 1 Kwa point 1
Hii ni kwa mujibu wa kanuni au busara zinatumika?Kwakuwa May 25/2025 Ligi inaisha , basi kutatua mgogoro huu TFF watoe Suluhu katika mechi hiyo, ikiwa yanga apewe point moja bila goli na Simba apewe point moja bila goli, the Ligi iishe.
Mechi ILIAHIRISHWA. Wewe hujastukia kuwa yale makelele ya kwenda CAS Sasa hivi yamepungua!?Simba anapewa point moja kwa sheria na kanuni hipi?
Mtu akimbie mechi then azawadiwe point moja kirahisi rahisi tu hilo haliwezekani.
Point moja moja .kwa kutumia sheria au kifungu kipi?Mwezi ujao Ligi inaisha na hakuna lolote linaloendelea Kwa mechi iliyogomewa na kuhairishwa Kwa wakati mmoja, naongelea mechi ya Simba na Yanga.
Kwakuwa May 25/2025 Ligi inaisha , basi kutatua mgogoro huu TFF watoe Suluhu katika mechi hiyo, ikiwa yanga apewe point moja bila goli na Simba apewe point moja bila goli, the Ligi iishe.
Mana tutaenda Afcon ama Ligi itaisha ila mgogoro haujaisha, wape Hali sawa ya point 1 Kwa point 1
Mimi nikiwa km shabiki wa Yanga nasema hatutaki point 1 tunataka 3 hamtaki mbwaimbwai mnamwaga ugali tunamwaga mboga kisha tunatia mchanga ugali wenyewe na mboga pia halafu tuoneMana tutaenda Afcon ama Ligi itaisha ila mgogoro haujaisha, wape Hali sawa ya point 1 Kwa point 1
Mwezi ujao Ligi inaisha na hakuna lolote linaloendelea Kwa mechi iliyogomewa na kuhairishwa Kwa wakati mmoja, naongelea mechi ya Simba na Yanga.
Kwakuwa May 25/2025 Ligi inaisha , basi kutatua mgogoro huu TFF watoe Suluhu katika mechi hiyo, ikiwa yanga apewe point moja bila goli na Simba apewe point moja bila goli, the Ligi iishe.
Mana tutaenda Afcon ama Ligi itaisha ila mgogoro haujaisha, wape Hali sawa ya point 1 Kwa point 1
Kwa kutumia busara namba...,maana najuaMwezi ujao Ligi inaisha na hakuna lolote linaloendelea Kwa mechi iliyogomewa na kuhairishwa Kwa wakati mmoja, naongelea mechi ya Simba na Yanga.
Kwakuwa May 25/2025 Ligi inaisha , basi kutatua mgogoro huu TFF watoe Suluhu katika mechi hiyo, ikiwa yanga apewe point moja bila goli na Simba apewe point moja bila goli, the Ligi iishe.
Mana tutaenda Afcon ama Ligi itaisha ila mgogoro haujaisha, wape Hali sawa ya point 1 Kwa point 1