Nashauri Sumatra wamulike misemo kwenye bajaji na dalala

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji115][emoji115][emoji115]miaka 30 hapo mzee
 
Nimependa hii ya mwisho [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
yaan waache kupigwa kiyoyozi waanze kuhangaika na misemo ya kijinga
 
SUMATRA walivyo na weledi na usikivu kwa raia wanaweza kuanza kideal nao kweli
 
Siku moja nilikuwa barabaran likanipita fusso limeandikwa" MWISHO WA USHAROBARO MAJUKUMU"
Nilicheka sana maana nilikumbuka maisha nikiwa sijaoa halafu pamoja na nashughuli zangu baba alikuwa anadiliki kuniongezea pesa pia.
Nilikuwa nafanya starehe nitakavyo hata geto nilikuwa silali yaan nilikuwa nabadili gest tu. Lakn ikafika wakat wake ambao hata kuichenji elf 10 ikawa shida. Sasa hivi mademu Nawapita kama siwaoni hata kuwatamani hakupo tena.

Naweza kuwataman mpaka niangalie kama kuna hela ambayo ipo ipo tu nayo wakat mwingne naona bora nikatandike bia tu..

Maisha ni elimu tosha
 
Ww hayo maandishi kwa nini unayasoma kama hayakuhusu,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…