TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari Jf!
Baada ya kula chakula cha mchana nakushiba kuna wazo limenijia ,nikaona niishauri serikali japo serikali inawashauri wake sasa sidhani kama watapokea ushauri wangu.
Binafsi nlikuwa nawaza kwa sauti ila nikaona bora nitumie vidole alivyonipa Mungu kuandika mawazo yangu ili nitimize haki yangu ya kikatiba ya kutoa mawazo.
Mimi nimewaza mbali sana sitaki kusema ni umbali wa kilometa ngapi ,ila naishauri serikali pesa iliyopanga kuwekeza kwny uchaguzi iende azina na uchaguzi uhalishwe kwa kipindi kisichojulikana mpaka hapo 2030 ndio itangaze tarehe rasmi ya uchaguzi.
Kuna kila dalili kwamba mpaka sasa kama uchaguzi utafanyika 2020 Magufuli atapita kwa 100% ebu ili tulitazame jamani ,hapa kuna aja gani ya kuendelea na uchaguzi?
Dunia sasa hivi iko kwenye tishio kubwa la Corona na sasa ugonjwa huu ushaingia Afrika ,hivyo hizi hela kama tutazichezea kwny uchaguzi ambao mshindi anajulikana badae tutakuja kulia kilio cha mbwa koko.
Tumeona wengi wakiunga mkono juhudi za mheshimiwa rais that mean upinzani umeshakufa mpaka ss waliobaki wanatupotezea mda tu kwa kweli kama vipo vyama vyao vifutiliwe mbali tubaki na chama kimoja mpaka 2030 ili tujenge kwanza uchumi wa nchi maana uchumi wa dunia unatabiliwa mda wowote utashuka kwa kasi kutokana na Corona Virus.
Wewe mwenzangu unasemaje?
Baada ya kula chakula cha mchana nakushiba kuna wazo limenijia ,nikaona niishauri serikali japo serikali inawashauri wake sasa sidhani kama watapokea ushauri wangu.
Binafsi nlikuwa nawaza kwa sauti ila nikaona bora nitumie vidole alivyonipa Mungu kuandika mawazo yangu ili nitimize haki yangu ya kikatiba ya kutoa mawazo.
Mimi nimewaza mbali sana sitaki kusema ni umbali wa kilometa ngapi ,ila naishauri serikali pesa iliyopanga kuwekeza kwny uchaguzi iende azina na uchaguzi uhalishwe kwa kipindi kisichojulikana mpaka hapo 2030 ndio itangaze tarehe rasmi ya uchaguzi.
Kuna kila dalili kwamba mpaka sasa kama uchaguzi utafanyika 2020 Magufuli atapita kwa 100% ebu ili tulitazame jamani ,hapa kuna aja gani ya kuendelea na uchaguzi?
Dunia sasa hivi iko kwenye tishio kubwa la Corona na sasa ugonjwa huu ushaingia Afrika ,hivyo hizi hela kama tutazichezea kwny uchaguzi ambao mshindi anajulikana badae tutakuja kulia kilio cha mbwa koko.
Tumeona wengi wakiunga mkono juhudi za mheshimiwa rais that mean upinzani umeshakufa mpaka ss waliobaki wanatupotezea mda tu kwa kweli kama vipo vyama vyao vifutiliwe mbali tubaki na chama kimoja mpaka 2030 ili tujenge kwanza uchumi wa nchi maana uchumi wa dunia unatabiliwa mda wowote utashuka kwa kasi kutokana na Corona Virus.
Wewe mwenzangu unasemaje?