Nashauri Peter Kibatala achaguliwe kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Mwemary

JF-Expert Member
May 25, 2016
330
340
Habari wana jamvi,Poleni na misukosuko ya Jumamosi

Kutokana na kadhia inayotukuta sisi watanzania kushindwa katika kesi mbalimbali za kitaifa na kimataifa hususani Serikali yetu na kulipa fedha nyingi mfano kukamatwa kwa ndege yetu ya Air bus huko Afrika Kusini naomba nimshauri Rais wangu kama itampendeza kumteua Peter Kibatala kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Naimani yeye ni mwanasheria nguli nani aibu kama taifa kurusu akili kubwa ziwe zinazurura barabarani

Nina imani kuwa Serikali ilitumia raslimali fedha katika kuwapa elimu hawa vijana Serikali iwatumie ni ushauri tu kama itakupendeza mhe Rais
 
Na usije Kushangaa huyu huyu PK unayempongeza na kila Uchao mnazidi Kumpongeza akihamia CCM mtakuja Kumshangaa na hata Kumchukia na msije mkaamini kama ni Yeye kwani Mfumo utakuwa umeshammeza na Yeye. Mifano hai juu ya hili iko mingi tu ila tuanze Kwanza na Wakili Msomi Albert Msando na Yule Katibu Mkuu Wizara ya Maji hapa nchini Tanzania.
 
PK anaonekana yuko vzr sabab kesi nyingi anazoendesha huwa ziko winning side.

Kwa hiyo hoja anazotoa lazima zimuoneshe kama mtu genious sana kumbe kawaida tuu.

Kwa mfano ukimchukua ukampeleka kwenye hii kesi ya ndege yetu SA ataonekana kichwa panzi sababu atakuwa anatetea loosing side.

Mbona simple calculation san hii umeshindwaje kuielewa?
 
Kitila
Na usije Kushangaa huyu huyu PK unayempongeza na kila Uchao mnazidi Kumpongeza akihamia CCM mtakuja Kumshangaa na hata Kumchukia na msije mkaamini kama ni Yeye kwani Mfumo utakuwa umeshammeza na Yeye. Mifano hai juu ya hili iko mingi tu ila tuanze Kwanza na Wakili Msomi Albert Msando na Yule Katibu Mkuu Wizara ya Maji hapa nchini Tanzania.
 
Na usije Kushangaa huyu huyu PK unayempongeza na kila Uchao mnazidi Kumpongeza akihamia CCM mtakuja Kumshangaa na hata Kumchukia na msije mkaamini kama ni Yeye kwani Mfumo utakuwa umeshammeza na Yeye. Mifano hai juu ya hili iko mingi tu ila tuanze Kwanza na Wakili Msomi Albert Msando na Yule Katibu Mkuu Wizara ya Maji hapa nchini Tanzania.
Umeongea pointi sana mkuu. Watu huwa hawaangalii nje ya mfumo. Na hapo ndipo penye tatizo letu. Hata hawajiulizi kwa nini mtu akiingia kwenye system anabadilika hata kama hapo kabla alikuwa mwanaharakati na mzalendo wa kupigiwa mfano namna gani. Ni vigumu sana kuongea huku ukiwa na bonge la nyama mdomoni. Subiri sasa hata yule msomali wa Tabora kama utamsikia tena. Ni wakati wake wa kufakamia keki ya taifa...kimya kimya....

Ndiyo maana mimi huwezi kunikuta nashabikia mwanasiasa/kiongozi. Nguvu zetu inabidi tuzielekeze kwenye kuimarisha mifumo yetu na kujenga taasisi imara na huru. Hii ya kutegemea mtu mmoja mmoja ni kiinimacho tu na kwa nchi hii hata aje nani kama mifumo na miundo ya taasisi zetu ni ile ile mimi naamini mambo ni yale yale tu. Hakuna kitakachobadilika !!!
 
Unaweza kua unaloose lakini ukaloose with style.

Mfano ukaafikiana namna ya kulipa ambayo inakufavour wewe.
PK anaonekana yuko vzr sabab kesi nyingi anazoendesha huwa ziko winning side.

Kwa hiyo hoja anazotoa lazima zimuoneshe kama mtu genious sana kumbe kawaida tuu.

Kwa mfano ukimchukua ukampeleka kwenye hii kesi ya ndege yetu SA ataonekana kichwa panzi sababu atakuwa anatetea loosing side.

Mbona simple calculation san hii umeshindwaje kuielewa?
 
Back
Top Bottom