kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Mheshimiwa Pole Pole ambaye umekuwa ukijibainisha kuwa mkweli na muwazi, ningependa pia uongelee suala la TEGETA ESCROW,RADAR SCANDAL na mengine mengi ambayo yametokea ndani ya Taifa letu kwani mimi binafsi nashindwa kuelewa kwa nn umejikita kwenye mada moja tu ya Rich Mond kana kwamba mengine huyaoni,tunaomba na sisi utupe ukweli juu ya haya na wahusika wake ili tuwe na imani na ww ya kwamba hutumiki na baadhi ya wanasiasa kama inavyosemekana kwa sasa.