Nashauri Mahari ilipiwe Kodi

Nashauri Mahari ilipiwe Kodi

Didas Nbc

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2014
Posts
472
Reaction score
319
Wadau kama nilivyoelezea hapo juu kwanini mwanaume anapotoa mahari mbona wazazi wa mwanamke hawaendi TRA kulipia taxes nahisi hii itasaidia kuongeza mapato kwa serikali yetu
 
Wadau kama nilivyoelezea hapo juu kwanini mwanaume anapotoa mahali mbona wazazi wa mwanamke hawaendi TRA kulipia taxes nahisi hii itasaidia kuongeza mapato kwa serikali yetu
Sio mahali ni mahari,muwe mnauliza wakubwa zenu huko kwanza kabla ya kukimbilia huku jf na kupost vitu visivyoeleweka.
 
Mahari yenyewe tu ni shida, utaambia ng'ombe sijui kumi bado mambo mengine.. Halafu bado unataka na kodi juu! Wewe kweli mhenga!
 
Wadau kama nilivyoelezea hapo juu kwanini mwanaume anapotoa mahali mbona wazazi wa mwanamke hawaendi TRA kulipia taxes nahisi hii itasaidia kuongeza mapato kwa serikali yetu
Mahali= mahari ,alafu wewe wapi hujui ata maana ya mahari tra inatokea wapi na wewe apo nawe unajiona great thinker!!!

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
Mahali= mahari ,alafu wewe wapi hujui ata maana ya mahari tra inatokea wapi na wewe apo nawe unajiona great thinker!!!

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Hahahaa! Mkuu msamehe bure tu japo anajifanya kuwajibu mbovu wachangiaji wa thd yake,Mods nao wanafuta comment tu kwenye huu uzi?!!
 
Mkuu mbona kuna ada inayolipwa kabla au baada ya kufunga ndoa
 
dedc025cdde182314b0e6a70cbbc98dc.jpg
 
Wadau kama nilivyoelezea hapo juu kwanini mwanaume anapotoa mahari mbona wazazi wa mwanamke hawaendi TRA kulipia taxes nahisi hii itasaidia kuongeza mapato kwa serikali yetu
Duuh umetumwa nini mkuu
 
Mahari ilipiwe kodi kwan kuna biashara gani inakua imefanyika? Mahari ilipwe kodi kwan hiyo ni faida au mapato yamepatikana kutoka kwenye huduma gani??

Kilaza mkubwa wewe!! kwahiyo hata mdogo wangu akija kunililia njaa nikamtoa ki laki moja nayo akalipe kodi TRA? Nyoko zako.

Mtafikia kusema hadi tu.hela tunavyohonga kwa madem zetu nayo ilipiwe kodi.
 
Back
Top Bottom