certified mdokozi
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 1,402
- 816
awe kama TATA INDIA thr into FMCG ,automobile,Telecomucation ,manufacturing almost kila kitu
Ila lazima usaili utakuwa kwa akina Hafidh, Juma, Hassan, Maimuna, Waridi, Munira na sio kina Emmanuel au kina Esther, huu ndo ukweli deep down.Habari za asubuhi,
Nashauri na napendekeza uongozi wa Bakhresa group waanzishe Azam schools kuanzia nusery mpaka A-level hii ingesaidia sana kwa vijana kupata elimu kwa ada nafuu, na kuleta ushindani wa elimu.
Nawasilisha.
kwa taarifa yako watoto wa bakhresa wote wanaosimamia kampuni amewasomesha na wana elimu kubwa kuliko wewe unaowakejeli hapa..ingia katika web yao ndio utajua ninalokuambiaMhhh....Hao jamaa hawanaga kipaumbele na elimu...Unajua Elim hii ni ya Makafir...Makafir walileta mambo ya Elim....
Mimi naongelea Deen yetu...kwa taarifa yako watoto wa bakhresa wote wanaosimamia kampuni amewasomesha na wana elimu kubwa kuliko wewe unaowakejeli hapa..ingia katika web yao ndio utajua ninalokuambia
wewe unataka kuleta udini tu hapa na sijui udini umetoka wapi?Mimi naongelea Deen yetu...
Najua hata Manji amesoma George Town Univetsty US moja ya vyuo bora duniani...
Kama Azam mgeni nani atakuwa mwenyeji ?Kila kitu azam hii nchi mbona wavivu ni wengi wazawa amkeni sababu hii nchi imekamatwa na wageni.
Yawezekana akawa analipa kubwa kuliko wengine lakini ndogo kuliko aliyostahili.fyi
katika 3 bora wa kulipa kodi nchi hii yumo.