Nashauri Bakhresa aanzishe Azam schools

Nashauri Bakhresa aanzishe Azam schools

bullion

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2014
Posts
309
Reaction score
112
Habari za asubuhi,

Nashauri na napendekeza uongozi wa Bakhresa group waanzishe Azam schools kuanzia nusery mpaka A-level hii ingesaidia sana kwa vijana kupata elimu kwa ada nafuu, na kuleta ushindani wa elimu.

Nawasilisha.
 
Mhhh....Hao jamaa hawanaga kipaumbele na elimu...Unajua Elim hii ni ya Makafir...Makafir walileta mambo ya Elim....
 
Mhhh....Hao jamaa hawanaga kipaumbele na elimu...Unajua Elim hii ni ya Makafir...Makafir walileta mambo ya Elim....

Sidhani kama hawana kipaumbele na elimu, nadhani ni madhara ya kihistoria, tusiwahukumu kwa hili.Ni suala la muda tu.
 
"KWA ADA NAFUU" Kwa nini ada nafuu? Ukiona hivyo ujue anakwepa kodi. Unafuu utatoka wapi kwa utitiri wa kodi nchini kwetu.?? JITAMBUE MKUU.
 
ushakosea,ilitakiwa uandae propozo umpelekee said baharesa ikiwa na plans zote na break-even angeanzisha na kukupa ukurugenzi basi tena wajanja washachukua idea na wanaenda kumpa.
 
Jamani wana jf mimi ni mwabafunzi kidato cha nne sijasajiriwa kutokana na ada kupungua nifanye nini?
 
ushakosea,ilitakiwa uandae propozo umpelekee said baharesa ikiwa na plans zote na break-even angeanzisha na kukupa ukurugenzi basi tena wajanja washachukua idea na wanaenda kumpa.

Mkuu hii naweza kuwa sababu pia ya wana JF wengi kutopenda kutoa mawazo yao ya biashara hapa!!!

Si unaona kama huyu sasa?
 
Habari za asubuhi,

Nashauri na napendekeza uongozi wa Bakhresa group waanzishe Azam schools kuanzia nusery mpaka A-level hii ingesaidia sana kwa vijana kupata elimu kwa ada nafuu, na kuleta ushindani wa elimu.

Nawasilisha.

Na Atujengee Na Gesti Pia Ili Tubanduane Vizuri Na Kisawasawa!
 
idea nzuri.....kama alivyofanya billionaire mwenzake sudhir ruparelia huko Uganda
 
Si shule tu hata Pia aanzishe Azam Tel (kampuni ya simu)...atuokoe wanyonge maana kampuni zote sasa zanunuliwa..na chama.
 
"kwa ada nafuu" kwa nini ada nafuu? Ukiona hivyo ujue anakwepa kodi. Unafuu utatoka wapi kwa utitiri wa kodi nchini kwetu.?? Jitambue mkuu.
fyi
katika 3 bora wa kulipa kodi nchi hii yumo.
 
Kila kitu azam hii nchi mbona wavivu ni wengi wazawa amkeni sababu hii nchi imekamatwa na wageni.
 
Naona wazo langu bado halijafanyiwa kazi, ila sio mbaya kashusha mashine mpya. Hongera Bakhressa Group
 
Back
Top Bottom