Nkungulume
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,987
- 1,209
Nimekuwa nikifatilia mara kwa mara vikao vya bunge toka siasa za vyama zianze na kurushwa moja Kwa moja kwenye TV.
Imekuwa ni kawaida yao kila inapotokea kutokukubaliana na hoja za serikali wanatoka nje.
Kilichonishangaza zaidi ni pale walipotaka kujadili hotuba ya rais wakati alipohutubia bunge.
Upinzani siyo kupinga kila kitu jaribuni kuwa na hekima tumewachagua mtuwakilishe siyo kutoka kwenye vikao
Imekuwa ni kawaida yao kila inapotokea kutokukubaliana na hoja za serikali wanatoka nje.
Kilichonishangaza zaidi ni pale walipotaka kujadili hotuba ya rais wakati alipohutubia bunge.
Upinzani siyo kupinga kila kitu jaribuni kuwa na hekima tumewachagua mtuwakilishe siyo kutoka kwenye vikao