rushanju
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 3,130
- 4,619
Mimi ni mwana CCM damu na najua hili litawakela wengi ndani ya jamvi. Mara nyingi nimekuwa nikufuatilia sana masuala ya vyombo vya habari vyote bila kuacha hat ahii forum. lkn kila nilkisia kuhusu Habari inayotuhusu (CCM) huwa respond ya watu huwa ni kutusagia na mara zote huwa ni mwelekeo hasi kuhusu chama chetu. Mfano nikiangalia thread nyingi humu ndani weng mnatusagia tu kwenye Tv nisiseme. Mgazeti hayo ndo kabisa labda machache ambayo mengine ni yetu au ni watu wetu. Sasa nashangaa wakati wa uchaguzi tunatoka kwa KISHINDO sijajua inakuaje. Sehemu za jamii ndo kabsaa. Angalia vyuuo vikuu, Madaktari na mashule ya sekondari kote huko ni kilio tu. Ingawa kwa sasa naona tunaanza kujipanga na sina wasiwasi na ushindi wetu uchaguzi ujao.