KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 86
ina maana hujawahi kukaa dar au huna mwenyeji yeyote anayekaa dar ? je ulipokuwa tz ina maana hukuwahi kuwa na simu ya mkononi ? kama ulikuwa nayo ni kampuni gani ? na kwa nini ulikuwa unatumia hiyo kampuni na si zingine ? hakuna lolote lililobadirika ndnai ya hizo aka mbili zaidi ya mgao wa umeme