Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,143
Kuna Wajumbe hawatakuwepo Bungeni kwakuwa wanapinga kinachoendelea pale indirectly.Hawapaswi kulazimishwa
Mkuu Petro, kutokuwepo utaratibu fulani nchini hakumaanishi kuwa utaratibu kama huo haufai. Ni sisi ndio tunaotunga sheria/kanuni na taratibu zenu na kama hivyo ndivyo tunaweza kurekebisha na kuboresha kukidhi matakwa na mahitaji.
Mwenyekiti 6 yupo sahihi kabisa, hatuwezi kukwamsha zoezi ambalo kimsingi limefikia ukingoni.
Pia, kwa wale waliotoka nje ya bunge kwa kupinga kama ndugu zako Ukawa, kanuni hii mpya haitawalazimisha kupiga kura.
Jamani waacheni wabunge wengi popote pale walipo washiriki katka zoezi hili la kihistoria.
Katiba itapatikana
Vifungu vitapitishwa
Na wananchi watapiga kura ya ndio
Mtake ni hivyo, msitake ni hivyo.
Mkuu Petro, kutokuwepo utaratibu fulani nchini hakumaanishi kuwa utaratibu kama huo haufai. Ni sisi ndio tunaotunga sheria/kanuni na taratibu zenu na kama hivyo ndivyo tunaweza kurekebisha na kuboresha kukidhi matakwa na mahitaji.
Mwenyekiti 6 yupo sahihi kabisa, hatuwezi kukwamsha zoezi ambalo kimsingi limefikia ukingoni.
Pia, kwa wale waliotoka nje ya bunge kwa kupinga kama ndugu zako Ukawa, kanuni hii mpya haitawalazimisha kupiga kura.
Jamani waacheni wabunge wengi popote pale walipo washiriki katka zoezi hili la kihistoria.
Katiba itapatikana
Vifungu vitapitishwa
Na wananchi watapiga kura ya ndio
Mtake ni hivyo, msitake ni hivyo.
Km ww ni mjumbe wa BMK ulikuwa Wapi kumpinga mkiti leo ASB? HATUTAKI UNAFIKI KAA KIMYA KATIBA TAYARI IMEPATIKANA.
So you are leaving in history!
Mimi si Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba. Lakini,kama mtanzania wa kawaida sana,nina haki za kutoa maoni juu ya jambo lolote lihusulo nchi yetu. Na leo,natumia haki yangu hii iliyopo chini ya Ibara ya 18 ya Katiba ya sasa kupinga kimaoni kuhusu Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kupiga kura wakiwa nje ya nchi. Ninazo sababu mbalimbali za kupinga kimaoni suala hili.
Mosi, utaratibu wa kupiga kura kwa namna hiyo haukuwahi kuwepo na wala haupo hapa nchini mwetu. Kuanzia Katiba, Sheria za Bunge na hata Sheria Ndogondogo,hakuna suala kama hilo. Kwakuwa Bunge Maalum la Katiba linasimamiwa na Katiba ya sasa, Sheria ya Bunge Sura ya 83/2011 na Kanuni zake, sivyema kuleta jambo jipya lisilotambulika hata na Katiba ya sasa.BL halina upekee wowote wa kishera na kimantiki.
Pili, Bunge Maalum la Katiba lisilazimishe akidi. Kama Wajumbe hawapo basi.Waliopo wapige kura. Hakuna haja kuwatafuta popote walipo ili tu kukamilisha akidi ya wapiga kura na ya wakupitisha Rasimu. Hakuna cha kuwahi wala kuchelewa. Katiba ni yetu wenyewe. Twende taratibu.
Tatu, wananchi watataka kuona na kusoma nyuso za Wajumbe siku ya kupiga kura. Kupigia 'kifichoni' hakutaleta picha nzuri. Napinga suala hilo.
Nne, kura za walio nje zina utata huu au ule. Mjumbe aweza kushawishiwa na alipo au aliye naye huko na kupiga kura kutokana na ushawishi huo. Pia,itakwa ngumu kujua wangapi wamepiga na wamepigia upande gani. Napinga suala hili.
Kimsingi, kura za Wajumbe watakaokuwa nje ya nchi zisiruhusiwe. Kwanini ziruhusiwe sasa tu?
Mimi si Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba. Lakini,kama mtanzania wa kawaida sana,nina haki za kutoa maoni juu ya jambo lolote lihusulo nchi yetu. Na leo,natumia haki yangu hii iliyopo chini ya Ibara ya 18 ya Katiba ya sasa kupinga kimaoni kuhusu Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kupiga kura wakiwa nje ya nchi. Ninazo sababu mbalimbali za kupinga kimaoni suala hili.
Mosi, utaratibu wa kupiga kura kwa namna hiyo haukuwahi kuwepo na wala haupo hapa nchini mwetu. Kuanzia Katiba, Sheria za Bunge na hata Sheria Ndogondogo,hakuna suala kama hilo. Kwakuwa Bunge Maalum la Katiba linasimamiwa na Katiba ya sasa, Sheria ya Bunge Sura ya 83/2011 na Kanuni zake, sivyema kuleta jambo jipya lisilotambulika hata na Katiba ya sasa.BL halina upekee wowote wa kishera na kimantiki.
Pili, Bunge Maalum la Katiba lisilazimishe akidi. Kama Wajumbe hawapo basi.Waliopo wapige kura. Hakuna haja kuwatafuta popote walipo ili tu kukamilisha akidi ya wapiga kura na ya wakupitisha Rasimu. Hakuna cha kuwahi wala kuchelewa. Katiba ni yetu wenyewe. Twende taratibu.
Tatu, wananchi watataka kuona na kusoma nyuso za Wajumbe siku ya kupiga kura. Kupigia 'kifichoni' hakutaleta picha nzuri. Napinga suala hilo.
Nne, kura za walio nje zina utata huu au ule. Mjumbe aweza kushawishiwa na alipo au aliye naye huko na kupiga kura kutokana na ushawishi huo. Pia,itakwa ngumu kujua wangapi wamepiga na wamepigia upande gani. Napinga suala hili.
Kimsingi, kura za Wajumbe watakaokuwa nje ya nchi zisiruhusiwe. Kwanini ziruhusiwe sasa tu?
Huna ulicho andika cha maana zaidi ya utashi wa nafsi yako na sio utaifa. Yaonekana umeleta mada hii kwa kutumika zaidi
Mimi si Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba. Lakini,kama mtanzania wa kawaida sana,nina haki za kutoa maoni juu ya jambo lolote lihusulo nchi yetu. Na leo,natumia haki yangu hii iliyopo chini ya Ibara ya 18 ya Katiba ya sasa kupinga kimaoni kuhusu Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba kupiga kura wakiwa nje ya nchi. Ninazo sababu mbalimbali za kupinga kimaoni suala hili.
Mosi, utaratibu wa kupiga kura kwa namna hiyo haukuwahi kuwepo na wala haupo hapa nchini mwetu. Kuanzia Katiba, Sheria za Bunge na hata Sheria Ndogondogo,hakuna suala kama hilo. Kwakuwa Bunge Maalum la Katiba linasimamiwa na Katiba ya sasa, Sheria ya Bunge Sura ya 83/2011 na Kanuni zake, sivyema kuleta jambo jipya lisilotambulika hata na Katiba ya sasa.BL halina upekee wowote wa kishera na kimantiki.
Pili, Bunge Maalum la Katiba lisilazimishe akidi. Kama Wajumbe hawapo basi.Waliopo wapige kura. Hakuna haja kuwatafuta popote walipo ili tu kukamilisha akidi ya wapiga kura na ya wakupitisha Rasimu. Hakuna cha kuwahi wala kuchelewa. Katiba ni yetu wenyewe. Twende taratibu.
Tatu, wananchi watataka kuona na kusoma nyuso za Wajumbe siku ya kupiga kura. Kupigia 'kifichoni' hakutaleta picha nzuri. Napinga suala hilo.
Nne, kura za walio nje zina utata huu au ule. Mjumbe aweza kushawishiwa na alipo au aliye naye huko na kupiga kura kutokana na ushawishi huo. Pia,itakwa ngumu kujua wangapi wamepiga na wamepigia upande gani. Napinga suala hili.
Kimsingi, kura za Wajumbe watakaokuwa nje ya nchi zisiruhusiwe. Kwanini ziruhusiwe sasa tu?
usipinge kura za wajumbe walio nje tu, pinga bunge lenyewe la katiba kwa sababu lishapoteza mwelekeo na haliwezi kutuletea katiba iliyo bora, kwanza uko ndani ya bunge au haupo?
Wasira: katiba haitengenezwi barabarani
Ukawa warudi BUNGENI
Pinda: tumewambia hawa wenzetu wa ukawa
Kuwa katiba haitengenezwi mabarabarani
Warudi BUNGENI
Sita :: mahali sahihi pa kutengeneza katiba
Kisheria ni hapa BUNGENI hawa ukawa
Wasiendelee kuwahadaa watanzania
Kauli nyingi Kama za Akina
Makonda na wengine zilitolewa kupinga
Ukawa wasijadili katiba nje ya bunge
Lakini Leo watu wale wale wamekuwa wa
Kwanza kula matapishi Yao wanataka
Katiba ipigiwe kura hata mabarabarani
Hawa Kama sio wehu na majambazi nini
Sheria zinapindishwa ziendane na matakwa Yao
Wakiona kuna mahali panawabana
Kesho wakutanikapo ni kubadilisha vifungu na
Kanuni Hali hii mpaka lini ? Mbona bado
Tuko utumwani ?