Nimefuatilia kwenye kipima joto wanaowaunga mkono wabunge wa Chadema kutoka nje ya Bunge wamefikia aslimia 75 na waliosema sio ni kama 24 hivi kama sikose.
Sasa tuje kwa wananchi. Imanii yangu ni kuwa wabunge wa ccm na serikali yao wataangukia pua.
Ndiyo hapo sasa tutawafumua mmoja kwa mmoja hawa mafisadi.
Sasa tuje kwa wananchi. Imanii yangu ni kuwa wabunge wa ccm na serikali yao wataangukia pua.
Ndiyo hapo sasa tutawafumua mmoja kwa mmoja hawa mafisadi.