Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,664
- 32,147
Haya ni mawazo tu naamini serikali katika moja ya sekta ambayo mnapoteza hela nyingi sana Uhamiaji.
Nimekuwa wiki nzima nadili na Uhamiaji Magomeni mjini pale na kule Kurasini
Bila haya watu wanalizwa vijana wakichina wanakamatwa wanaambiwa dola 700-1000 waachiwe kiukweli mambo ya aibu sana.
Wanakamata na wacongo sasa wanasimamisha vijana wawape dola wawaachie sasa zoezi la wahamiaji haramu halina maana kabisa.
Ofisi moja imejaza wahamiaji haramu zaidi ya 20 wanabagaini asietoa kadhaa anafikishwa mahakamani hii halo ni shidaa
Nafikiri ni wakati sasa wakuweka takukuru pembeni ya kila ofisi za uhamiaji watu wanapewa resit feki za malipo hii halo sio ya utawala wa Magufuli
TUJARIBU KUWASIMAMIA ZAIDI
Nimekuwa wiki nzima nadili na Uhamiaji Magomeni mjini pale na kule Kurasini
Bila haya watu wanalizwa vijana wakichina wanakamatwa wanaambiwa dola 700-1000 waachiwe kiukweli mambo ya aibu sana.
Wanakamata na wacongo sasa wanasimamisha vijana wawape dola wawaachie sasa zoezi la wahamiaji haramu halina maana kabisa.
Ofisi moja imejaza wahamiaji haramu zaidi ya 20 wanabagaini asietoa kadhaa anafikishwa mahakamani hii halo ni shidaa
Nafikiri ni wakati sasa wakuweka takukuru pembeni ya kila ofisi za uhamiaji watu wanapewa resit feki za malipo hii halo sio ya utawala wa Magufuli
TUJARIBU KUWASIMAMIA ZAIDI