Nimeipenda sentensi yako hii. Kama hutamind naomba niiweke iwe signature yangu kwenye profile yangu ya JF, ila nitakuquote;
"Kwa kuwa mavazi ya dini yanaonekana ni muhimu kuliko matendo ya mvaaji, napendekeza mwizi, fisadi, jambazi akiwa amevaa hijabu, kanzu au baraghashia asiguswe."
Halafu haya mavazi ya kidini kama hijab au burka ni ishara tu za mfumo dume unaotumia dini kuzidi kuwatawala wanawake. Mimi ningekuwa na nafasi ya kisiasa ningepiga vita uvaaji wa alama zote za kidini kwenye public offices iwe ni rozari, au barghashia, au hijab;