Eddy Love
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 13,652
- 8,542
anajincia 2 kasoro jinaHahaha
Sasa sijui atakua yupi kati ya wanao reply sa ivi
anajincia 2 kasoro jinaHahaha
Sasa sijui atakua yupi kati ya wanao reply sa ivi
Wabeja sana nkoi..Napenda wanaume wakisukuma sana wanaupendo wa dhati..!!nimeshudia tu kwa rafiki yangu..mpka nimetamani ..WASUKUMA HONGERENI KWAKWELI.
wachaga wanakuja shauri yako
Hayo maneno tu hakuna mtu ambae sio mchafu wala sio mshamba uchafu ni jadi ya mtu tu kwasababu wapo kabila wengine mbona wachafu uchafu ni hulka ya mtu yaniTatizo lenu ni washamba mixer wachafu
Vingine mnajitahidi
Ila wanawake wa kisukuma kitandani ni kama gogo,hakuna kituAta wanawake wa kisukuma wazuri pia. . .umbo,miguu ya ukwel mixer sura nzuri
Ongwi"iseNabhise dugutogilwe gete.
bebe nawe msukuma??Ata wanawake wa kisukuma wazuri pia. . .umbo,miguu ya ukwel mixer sura nzuri
Iyo sio upendo,inafahamika mna sifaWanaume wakihaya pia tumo. Tunapenda kwa dhati. Yani breakfast German, lunch Brazil, dinner Ufaransa. Nini tena unataka?
-callmeGhost
Ulikutana na mchaga ww sio msukumaIla wanawake wa kisukuma kitandani ni kama gogo,hakuna kitu
Iyo sio upendo,inafahamika mna sifa
Hayo maneno tu hakuna mtu ambae sio mchafu wala sio mshamba uchafu ni jadi ya mtu tu kwasababu wapo kabila wengine mbona wachafu uchafu ni hulka ya mtu yani
Bebe mi sio wa nchi hiibebe nawe msukuma??
Pumbavu zako uchafu upi kwa wasukuma?Tatizo lenu ni washamba mixer wachafu
Vingine mnajitahidi
Wasukuma mupoooooo
ha ha ha ilaBebe mi sio wa nchi hii
nasikia mnanukia ng'ombe ng'ombe je ni kweli?Pumbavu zako uchafu upi kwa wasukuma?
Kwenye tetemeko sikuwasikiaIyo sio upendo,inafahamika mna sifa
Unaweza kupika ugali wa mhongo aka udanga maana test ya kwanza ni hiyo ya pili unajua kupenda cc tukipenda tumependa ukizingua tu nyumba ndogo inafata ,km unaweza karibuNapenda wanaume wakisukuma sana wanaupendo wa dhati..!!nimeshudia tu kwa rafiki yangu..mpka nimetamani ..WASUKUMA HONGERENI KWAKWELI.