Napenda wanaume Umri mdogo lakini siwapati. Nifanyaje?

MA-MDOGO= Penny mwanangu
MONEY PENNY=Nambie ma mdogo,mzima wewe
MA-MDOGO=Mi mzima yani hapa kila kiungo kinauma,sijui kama nitatembea.
MONEY PENNY=Kwanini
MA-MDOGO=Unamkumbuka yule kijana Idd Ninga ?
MONEY PENNY=Yule nilokutafutia kule Uganda siku ya harusi ?
MA-MDOGO=Huyo huyo,hivi ulimjuaje kama yupo vizuri vile
MONEY PENNY= (anacheka cheka tu)
MA-MDOGO=Yani hapa mi nilipo nasikia kama moto unawaka.
MONEY PENNY=Nilikwambia lakini ma mdogo
MA--MDOGO=Najuta kumfahamu yule muuza mkaa.
ITAENDELEA SEHEMU YA KUMI NA TISA.
 
MA-MDOGO= Penny mwanangu
MONEY PENNY=Nambie ma mdogo,mzima wewe
MA-MDOGO=Mi mzima yani hapa kila kiungo kinauma,sijui kama nitatembea.
MONEY PENNY=Kwanini
MA-MDOGO=Unamkumbuka yule kijana Idd Ninga ?
MONEY PENNY=Yule nilokutafutia kule Uganda siku ya harusi ?
MA-MDOGO=Huyo huyo,hivi ulimjuaje kama yupo vizuri vile
MONEY PENNY= (anacheka cheka tu)
MA-MDOGO=Yani hapa mi nilipo nasikia kama moto unawaka.
MONEY PENNY=Nilikwambia lakini ma mdogo
MA--MDOGO=Najuta kumfahamu yule muuza mkaa.
ITAENDELEA SEHEMU YA KUMI NA TISA.
Hahahaha, Acha maneno weka mziki
 
Ma-mdogo Penny Shikamoo, samahani Nina sehemu nimeganda naomba unichomoe

Money Penny: haya nambie mwanangu

Mtoto: Ma-mdogo, me Nina Miaka 40, ninapenda Sana wanaume Umri mdogo lakini siwapati?!

Money Penny: kwanini unapenda wadogo zako kama sio wanao?

Mtoto: wanaume wadogo Wana vitu ambavyo navitaka lakini sivipati

Money Penny: kama nini?

Mtoto:
1. Wanajua kupenda
2. Wanajua kugegeda
3. Wanajua kutoa romance
4. Wanajua kutoa attention, wako very attentive kwenye maswala ya kupenda na mambo yetu ya chumbani

Ila wanaume watu wazima Wana shida moja Tu
1. Wanajua kupenda lakini kuipata muda wao NI ngumu
2. Ndio wanahela lakini hela sio Kila kitu wakati mwingine unamwitaji hayupo
3. Kwenye mechi atakupa kigoli 1 kalala kajiongeza Sana 2 au 3

Kwakweli nawamiss wanaume wadogo, Ila siwapati napata watu wazima tuuu nifanyaje?

Haya wale akina pupils wenye mizuka yenu, mumsaidie mwanangu afanyaje!
Hivi hako kagoli kamoja mnakokazungumziaga huwa ni ka namna gani?? kama vile vya sungura au??
 
Ma-mdogo Penny Shikamoo, samahani Nina sehemu nimeganda naomba unichomoe

Money Penny: haya nambie mwanangu

Mtoto: Ma-mdogo, me Nina Miaka 40, ninapenda Sana wanaume Umri mdogo lakini siwapati?!

Money Penny: kwanini unapenda wadogo zako kama sio wanao?

Mtoto: wanaume wadogo Wana vitu ambavyo navitaka lakini sivipati

Money Penny: kama nini?

Mtoto:
1. Wanajua kupenda
2. Wanajua kugegeda
3. Wanajua kutoa romance
4. Wanajua kutoa attention, wako very attentive kwenye maswala ya kupenda na mambo yetu ya chumbani

Ila wanaume watu wazima Wana shida moja Tu
1. Wanajua kupenda lakini kuipata muda wao NI ngumu
2. Ndio wanahela lakini hela sio Kila kitu wakati mwingine unamwitaji hayupo
3. Kwenye mechi atakupa kigoli 1 kalala kajiongeza Sana 2 au 3

Kwakweli nawamiss wanaume wadogo, Ila siwapati napata watu wazima tuuu nifanyaje?

Haya wale akina pupils wenye mizuka yenu, mumsaidie mwanangu afanyaje!
Unataka wanaume wadogo na pesa huna kwako afate nn hata uzur huna

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Yes! Money Penny, in Bond's voice We mkali umemaliza movies za James Bond. Kuna nyingine inakuja "NO TIME TO DIE" anaendelea mkali Daniel Craig.
Bongo sijui wanaionyesha lini
Nimesubiriiiia lakini sijakuona
Hio ndio movie pekee sijaiona
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom