Alexander McQueen
Senior Member
- Aug 30, 2016
- 186
- 41
Ndugu wana jf natumaini ni wazima wa afya mm nimehitimu kidato cha nne mwaka 2015 katika shule moja ya kata iliyopo sana huko mara Tz na nilipata matokeo yafuatayo DIV III 25 CIVICS D GEOGRAPHY D PHYSICS F BIOLOGY D HISTORY D ENGLISH C KISWAHILI C CHEMISTRY C B/MATHS D kutokana na matokeo hayo nilijijua mapema sitopata selection nikaaply nacte diploma in primary education kama guidebook ilivyokuwa inaonesha baada ya nacte kutangaza selection first round nilikuta cjachaguliwa ikanibidi kuedit na kuaply tena ila baada ya siku kadhaa nilikuta nimeselectiwa ualimu lakini baada ya siku kama mbili nilikuta tena nipo kwenye system hicho kitendo kilinipa wasiwasi sana wa selection hata awamu ya pili kutokana na form six kutuvamia na siko tayari kupoteza mwaka home nilipewa ushairi niende private advance kwani niliipenda lakini kipato cha anaenisomesha hakikidhi mahitaji nomewaza wakitoa selection simo nafikiria kurudia f3 mwaka huu kwani najua nipo vzr bado naombeni ushauri wenu wa mawazo kama wasomi please umr ni miaka 19 asanteni