Umeathirika kisaikolojia kijana
Hii mpya tangu nizaliwe,hata hivyo bado najiuliza nini hiki.....
una psychosocial problemssijui kama nina tatizo au vipi lakini sio siri yani nikimuona mwanamke analia huwa nafarijika sana huwa napatwa na huzuni usoni ila nahisi raha sana moyoni na huwa naenda kumbembeleza kama nipo nae karibu hapo ndo raha inaongezeka moyoni,jana nilipita mitaa flani nikamkuta mdada analia yuko pekeyake anasubiri daladala nikaona si vibaya nikamsogelea pale alipo nikamkuta anatokwa machozi hataki kusema tatizo ni nini basi nikambembeleza pale hadi raha yani kumbembeleza mwanamke hadi akanyamaza then nikamuuliza tatizo nini akasema mapenzi nikasema shit.!!
hadi leo sijajua tatizo langu akilia mtoto sipendi akilia mwanaume sipendi ila akilia mwanamke napenda sana nim'bembeleze
Jamani huyu jamaa ni yeye interest zake na anapenda nn?, hata tusimshangae hapa tukiulizana tunapenda kitu gani mbona tutashangaana sana humu ndani??....
Hivi hamna mtu humu anaependa kumbembeleza msichana akilia, unamshika nywele zake then analalia kifuani kwako acheni hizo habary wadau
lakini akilia mtoto mbele yangu hata awe msichana mbona atajuta kukaa mbele yangu piga makofi
tukiulizana humu ndani wadau wote tunapenda nn mbona huyo jamaa anaafadhali
Am done...
sijui kama nina tatizo au vipi lakini sio siri yani nikimuona mwanamke analia huwa nafarijika sana huwa napatwa na huzuni usoni ila nahisi raha sana moyoni na huwa naenda kumbembeleza kama nipo nae karibu hapo ndo raha inaongezeka moyoni,jana nilipita mitaa flani nikamkuta mdada analia yuko pekeyake anasubiri daladala nikaona si vibaya nikamsogelea pale alipo nikamkuta anatokwa machozi hataki kusema tatizo ni nini basi nikambembeleza pale hadi raha yani kumbembeleza mwanamke hadi akanyamaza then nikamuuliza tatizo nini akasema mapenzi nikasema shit.!!
hadi leo sijajua tatizo langu akilia mtoto sipendi akilia mwanaume sipendi ila akilia mwanamke napenda sana nim'bembeleze