Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
hello JF,
Leo ningependa kuishauri Serikali ifanye ku-facilitate a meeting place At least once per 3 months.
Itakuwa inahusu kuwakutanisha wafanyabiashara kutangaza kazi zao na wanunuaji wa hizo bidhaa kukutanishwa.
Pia kujifunza biashara kutoka kwa watu experienced. Wengine, ni waajiri wanakutanishwa na wanaotafuta kazi hata zile temporary...
Serikali pia ingetuma researchers,ku-explore what is needed outhere iwe feedback kwenye kudesign syllabus za vyuoni...
Nimeona hili likifanya na wajasiriamali sector binafsi ila ningependa pia Serikali ichukue upper hand since inaweza kuwafikia audience kubwa zaidi,since ina resources na inaweza kuwafikia watu wengi zaidi wakanufaika...
Leo ningependa kuishauri Serikali ifanye ku-facilitate a meeting place At least once per 3 months.
Itakuwa inahusu kuwakutanisha wafanyabiashara kutangaza kazi zao na wanunuaji wa hizo bidhaa kukutanishwa.
Pia kujifunza biashara kutoka kwa watu experienced. Wengine, ni waajiri wanakutanishwa na wanaotafuta kazi hata zile temporary...
Serikali pia ingetuma researchers,ku-explore what is needed outhere iwe feedback kwenye kudesign syllabus za vyuoni...
Nimeona hili likifanya na wajasiriamali sector binafsi ila ningependa pia Serikali ichukue upper hand since inaweza kuwafikia audience kubwa zaidi,since ina resources na inaweza kuwafikia watu wengi zaidi wakanufaika...