Nape, waziri mzigo uliyemnadi wakati wa kukiimarisha chama ndiye huyu unayetaka awe zigo kwa wananchi?

sammosses

JF-Expert Member
Jan 24, 2011
1,682
1,110
Maneno na kauli tutoazo zinaishi ndani ya akili zetu, ni vigumu kufuta kitu kilicho jengwa akilini ndo maana tukasema, tuweke akiba ya maneno ili baadae tuweze kujua nini cha kuzungumzia.

SOMA: Mawaziri mizigo waibuliwa tena! Yupo Chiza wa Kilimo

Mh Nape Nnauye akiwa katibu mwenezi alifanya kazi kubwa sana ya kykipigania chama katika harakati za kurudisha imani ya wananchi, pamoja na kutatua kero za wananchi.

Akiwa na katibu mkuu mh. Abraham Kinana waliwaibua mawaziri mizigo, katika serikali ya awamu ya nne, miongoni mwao alikuwepo mh. Christopher Chizza, aliyekuwa waziri wa kilimo.

Katika hoja zake alikemea utendaji mbovu wa mh. Huyo na kumuita waziri mzigo miongoni mwa wenzake watano. Wana wa Buyugu waliliona hilo, kupitia mchakato wa uchaguzi alidondokea pua.

Mh Nape, yule yule aliyemuona akiwa mtendaji wa chama na chama ndicho kilichoisimamia serikali yake yupo Jimboni Buyugu kule kule alipomtambulisha kama waziri mzigo, ana mnadi mzigo kuwa Mbunge ili aendelee kuwa mzigo kwa wapiga kura. Hii imekaaje, kwanini tunashindwa kuishi kwenye kile tulicho kiamini kuliko kuonekana vuvuzela (mpiga kelele)!!!!

Iko hivi, kwa kutokutambua umuhimu wa watu muhimu jimboni Buyugu CCM kwa makusudi bila hata kuwashirikisha wananchi kuwa mzigo-mtu yule ameshatuliwa ule mzigo na sasa ana stahili kuwaongoza wana wa Buyugu.

Nimtake mh. Nape awe mwepesi wa kuhifadhi kumbukumbu ili kuweka mambo sahihi kuliko kusimamia asicho kiamini kwa kuwa wanatafuta kuongeza column ndani ya bunge.

Buyungu haihitaji Mbunge mzigo, inataka viongozi moto wenye kuweza kupambana na changamoto ndani ya jimbo kwa kipo mustakabali wa maendeleo ya Buyugu. Haiwezekani waziri mzigo asiwe Mbunge mzigo, wana Buyugu msijubali kuuziwa kipande cha chupa kwa thamani lulu, watch out, time will tell.
 
Maneno na kauli tutoazo zinaishi ndani ya akili zetu, ni vigumu kufuta kitu kilicho jengwa akilini ndo maana tukasema, tuweke akiba ya maneno ili baadae tuweze kujua nini cha kuzungumzia.

#Mh Nape Nnauye akiwa katibu mwenezi alifanya kazi kubwa sana ya kykipigania chama katika harakati za kurudisha imani ya wananchi, pamoja na kutatua kero za wananchi.

Akiwa na katibu mkuu mh. Abraham Kinana waliwaibua mawaziri mizigo, katika serikali ya awamu ya nne, miongoni mwao alikuwepo mh. Christopher Chizza, aliyekuwa waziri wa kilimo.

Katika hoja zake alikemea utendaji mbovu wa mh. Huyo na kumuita waziri mzigo miongoni mwa wenzake watano. Wana wa Buyugu waliliona hilo, kupitia mchakato wa uchaguzi alidondokea pua.

#Mh Nape, yule yule aliyemuona akiwa mtendaji wa chama na chama ndicho kilichoisimamia serikali yake yupo Jimboni Buyugu kule kule alipomtambulisha kama waziri mzigo, ana mnadi mzigo kuwa Mbunge ili aendelee kuwa mzigo kwa wapiga kura. Hii imekaaje, kwanini tunashindwa kuishi kwenye kile tulicho kiamini kuliko kuonekana vuvuzela (mpiga kelele)!!!!

#Iko hivi, kwa kutokutambua umuhimu wa watu muhimu jimboni Buyugu CCM kwa makusudi bila hata kuwashirikisha wananchi kuwa mzigo-mtu yule ameshatuliwa ule mzigo na sasa ana stahili kuwaongoza wana wa Buyugu.

#Nimtake mh. Nape awe mwepesi wa kuhifadhi kumbukumbu ili kuweka mambo sahihi kuliko kusimamia asicho kiamini kwa kuwa wanatafuta kuongeza column ndani ya bunge.

Buyugu ahitaji Mbunge mzigo, inataka viongozi moto wenye kuweza kupambana na changamoto ndani ya jimbo kwa kipo mustakabali wa maendeleo ya Buyugu. Haiwezekani waziri mzigo asiwe Mbunge mzigo, wana Buyugu msijubali kuuziwa kipande cha chupa kwa thamani lulu, watch out, time will tell.
Ungepata kakipande cha video ukakabandika hapa,angeumbuka kwelikweli.... maana huko Instagram kuna kavideo kanaonesha mheshimiwa ana msifia mbowe....mh hakanushi pale.
 
Maneno na kauli tutoazo zinaishi ndani ya akili zetu, ni vigumu kufuta kitu kilicho jengwa akilini ndo maana tukasema, tuweke akiba ya maneno ili baadae tuweze kujua nini cha kuzungumzia.

#Mh Nape Nnauye akiwa katibu mwenezi alifanya kazi kubwa sana ya kykipigania chama katika harakati za kurudisha imani ya wananchi, pamoja na kutatua kero za wananchi.

Akiwa na katibu mkuu mh. Abraham Kinana waliwaibua mawaziri mizigo, katika serikali ya awamu ya nne, miongoni mwao alikuwepo mh. Christopher Chizza, aliyekuwa waziri wa kilimo.

Katika hoja zake alikemea utendaji mbovu wa mh. Huyo na kumuita waziri mzigo miongoni mwa wenzake watano. Wana wa Buyugu waliliona hilo, kupitia mchakato wa uchaguzi alidondokea pua.

#Mh Nape, yule yule aliyemuona akiwa mtendaji wa chama na chama ndicho kilichoisimamia serikali yake yupo Jimboni Buyugu kule kule alipomtambulisha kama waziri mzigo, ana mnadi mzigo kuwa Mbunge ili aendelee kuwa mzigo kwa wapiga kura. Hii imekaaje, kwanini tunashindwa kuishi kwenye kile tulicho kiamini kuliko kuonekana vuvuzela (mpiga kelele)!!!!

#Iko hivi, kwa kutokutambua umuhimu wa watu muhimu jimboni Buyugu CCM kwa makusudi bila hata kuwashirikisha wananchi kuwa mzigo-mtu yule ameshatuliwa ule mzigo na sasa ana stahili kuwaongoza wana wa Buyugu.

#Nimtake mh. Nape awe mwepesi wa kuhifadhi kumbukumbu ili kuweka mambo sahihi kuliko kusimamia asicho kiamini kwa kuwa wanatafuta kuongeza column ndani ya bunge.

Buyugu ahitaji Mbunge mzigo, inataka viongozi moto wenye kuweza kupambana na changamoto ndani ya jimbo kwa kipo mustakabali wa maendeleo ya Buyugu. Haiwezekani waziri mzigo asiwe Mbunge mzigo, wana Buyugu msijubali kuuziwa kipande cha chupa kwa thamani lulu, watch out, time will tell.
Aliyekwambia wanakumbukumbu ni nani?
 
Maneno na kauli tutoazo zinaishi ndani ya akili zetu, ni vigumu kufuta kitu kilicho jengwa akilini ndo maana tukasema, tuweke akiba ya maneno ili baadae tuweze kujua nini cha kuzungumzia.

#Mh Nape Nnauye akiwa katibu mwenezi alifanya kazi kubwa sana ya kykipigania chama katika harakati za kurudisha imani ya wananchi, pamoja na kutatua kero za wananchi.

Akiwa na katibu mkuu mh. Abraham Kinana waliwaibua mawaziri mizigo, katika serikali ya awamu ya nne, miongoni mwao alikuwepo mh. Christopher Chizza, aliyekuwa waziri wa kilimo.

Katika hoja zake alikemea utendaji mbovu wa mh. Huyo na kumuita waziri mzigo miongoni mwa wenzake watano. Wana wa Buyugu waliliona hilo, kupitia mchakato wa uchaguzi alidondokea pua.

#Mh Nape, yule yule aliyemuona akiwa mtendaji wa chama na chama ndicho kilichoisimamia serikali yake yupo Jimboni Buyugu kule kule alipomtambulisha kama waziri mzigo, ana mnadi mzigo kuwa Mbunge ili aendelee kuwa mzigo kwa wapiga kura. Hii imekaaje, kwanini tunashindwa kuishi kwenye kile tulicho kiamini kuliko kuonekana vuvuzela (mpiga kelele)!!!!

#Iko hivi, kwa kutokutambua umuhimu wa watu muhimu jimboni Buyugu CCM kwa makusudi bila hata kuwashirikisha wananchi kuwa mzigo-mtu yule ameshatuliwa ule mzigo na sasa ana stahili kuwaongoza wana wa Buyugu.

#Nimtake mh. Nape awe mwepesi wa kuhifadhi kumbukumbu ili kuweka mambo sahihi kuliko kusimamia asicho kiamini kwa kuwa wanatafuta kuongeza column ndani ya bunge.

Buyugu ahitaji Mbunge mzigo, inataka viongozi moto wenye kuweza kupambana na changamoto ndani ya jimbo kwa kipo mustakabali wa maendeleo ya Buyugu. Haiwezekani waziri mzigo asiwe Mbunge mzigo, wana Buyugu msijubali kuuziwa kipande cha chupa kwa thamani lulu, watch out, time will tell.
Nape keshapewa maagizo kutoka juu,sio yeye muoneeni huruma ni maagizo kutoka juu
 
Maneno na kauli tutoazo zinaishi ndani ya akili zetu, ni vigumu kufuta kitu kilicho jengwa akilini ndo maana tukasema, tuweke akiba ya maneno ili baadae tuweze kujua nini cha kuzungumzia.

#Mh Nape Nnauye akiwa katibu mwenezi alifanya kazi kubwa sana ya kykipigania chama katika harakati za kurudisha imani ya wananchi, pamoja na kutatua kero za wananchi.

Akiwa na katibu mkuu mh. Abraham Kinana waliwaibua mawaziri mizigo, katika serikali ya awamu ya nne, miongoni mwao alikuwepo mh. Christopher Chizza, aliyekuwa waziri wa kilimo.

Katika hoja zake alikemea utendaji mbovu wa mh. Huyo na kumuita waziri mzigo miongoni mwa wenzake watano. Wana wa Buyugu waliliona hilo, kupitia mchakato wa uchaguzi alidondokea pua.

#Mh Nape, yule yule aliyemuona akiwa mtendaji wa chama na chama ndicho kilichoisimamia serikali yake yupo Jimboni Buyugu kule kule alipomtambulisha kama waziri mzigo, ana mnadi mzigo kuwa Mbunge ili aendelee kuwa mzigo kwa wapiga kura. Hii imekaaje, kwanini tunashindwa kuishi kwenye kile tulicho kiamini kuliko kuonekana vuvuzela (mpiga kelele)!!!!

#Iko hivi, kwa kutokutambua umuhimu wa watu muhimu jimboni Buyugu CCM kwa makusudi bila hata kuwashirikisha wananchi kuwa mzigo-mtu yule ameshatuliwa ule mzigo na sasa ana stahili kuwaongoza wana wa Buyugu.

#Nimtake mh. Nape awe mwepesi wa kuhifadhi kumbukumbu ili kuweka mambo sahihi kuliko kusimamia asicho kiamini kwa kuwa wanatafuta kuongeza column ndani ya bunge.

Buyugu ahitaji Mbunge mzigo, inataka viongozi moto wenye kuweza kupambana na changamoto ndani ya jimbo kwa kipo mustakabali wa maendeleo ya Buyugu. Haiwezekani waziri mzigo asiwe Mbunge mzigo, wana Buyugu msijubali kuuziwa kipande cha chupa kwa thamani lulu, watch out, time will tell.
Hiyo ndio tabia ya wanasiasa, hata wale waliowahi kutangazwa kuwa Mafisadi Papa, baadaye walipewa nafasi ya kugombea Cheo Kikubwa zaidi katika nchi ya Tanzania.
 
Kwa kampeni ya Buyungu, CCM wangejiongeza, Nape angekaa pembeni akawaachia akina Kibajaji, Msukuma na Goodluck Mlinga, yeye akaenda kwingineko. Sasa kwa suala kama hili, hapo kuna tatizo. Haiwezekani mtu ulishasema hafai, leo ndio unakwenda kumpigia kampeni kwa watu wanaojua kuchanganya akili za kwao. maana walishajenga imani na upinzani wakamuweka mbunge ambaye amefariki, kutoka CHADEMA.
 
Wala sishangai mambo haya yakifanywa na mwana ccm na ndio maana (nape) walishawahi kumuita vuvuzela. Hana msimamo na wala hatujui anasimamia maslahi ya nani!...
Vuvuzela haichagui mpigiwa na sababu za kupigwa, lenyewe ukipuliza linatoa sauti.
Hivyo kama mlimfananisha na vuvuzela sioni amekosea wapi maana hajui sababu na malengo ya kupulizwa, kazi yake ni kutoa mlio msameheni.
 
Kwa kampeni ya Buyungu, CCM wangejiongeza, Nape angekaa pembeni akawaachia akina Kibajaji, Msukuma na Goodluck Mlinga, yeye akaenda kwingineko. Sasa kwa suala kama hili, hapo kuna tatizo. Haiwezekani mtu ulishasema hafai, leo ndio unakwenda kumpigia kampeni kwa watu wanaojua kuchanganya akili za kwao. maana walishajenga imani na upinzani wakamuweka mbunge ambaye amefariki, kutoka CHADEMA.
Nape labda kasukumwa kwa sababu ya mdomo wake wenye chembe za ulaghai.
Lakini analinda maslahi yake kwa siku za mbeleni.
Yawezekana Nape kumuita waziri mzigo ilikuwa huyo Nape alikuwa hajui kazi za uwaziri ni nini alifikiri ni kupayuka payuka tu kama alivyojitia kitanzi wakati akiwa waziri wa habari.
 
Inasemekana eti kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu. Lakini pia "nyakati zinabadilika mjukuu wangu" na kwa kumalizia tu ni kwamba "binadamu tumeumbiwa kusahau".
 
Kuna viongozi wa dini walikua majambazi wakabadilika, Ukiwa legelege haimaanishi utakufa legelege, hapo wenzako wanatafuta ulaji tu, Na wewe kapambane utafute chakula
 
Back
Top Bottom