Paparazi Muwazi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 310
- 80
Jf ina washabiki wa chadema wengi kwa hiyo hizi poll hazi reflect reality. Kama mnataka kura na matokeo halisi kapigeni kura jimboni ubungo
JF kwanini isifanye pia kura ya maoni mitaani?
PM
Jf ina washabiki wa chadema wengi kwa hiyo hizi poll hazi reflect reality. Kama mnataka kura na matokeo halisi kapigeni kura jimboni ubungo
huwezi kumfananisha nape na mnyika, Elimu, uwezo wa kisiasa, Nape ni zaidi mara 1000, labda NAPE VS SLAA hapo kidogo tunaweza kupiga kura.
Hawa wote ni wasemaji wa vyama vyao na pia Nape alijaribu kugombea Ubungo. Je, uchaguzi ungefanyika leo nani ungempa kura yako?
We mkigoma wakati huko unakokuita kwenu kote kuko kwa NCCR na CDM halafu watuambia nini? U zaidi ya wenzio wakigoma zaidi ya milioni mbili walioona akina nape kama ni oil chafu? Haya ishi 'unafikuni' matunda yake utayaona ukiendelea kukwaruzana na barabara ya tope toka Nyakanazi hadi Kidahwe kilometa zaidi ya miatatu kisha ushabikia hao uwaonao ni werevu...!
haoti, ana cerebral malaria.Khaaa unaota?
Who is cake and who is poop? whose poop by the way. natamani kujua hili!lolupuuzi mtupu kushindanisha keki na mavi
huwezi kumfananisha nape na mnyika, Elimu, uwezo wa kisiasa, Nape ni zaidi mara 1000, labda NAPE VS SLAA hapo kidogo tunaweza kupiga kura.