Vancomycin
Senior Member
- Jan 7, 2011
- 171
- 111
Ha ha ha huyo dogo Nape hana ishu aendelee na kelele zake huku tembo wanaendelea kunywa maji.
huwezi kumfananisha nape na mnyika, Elimu, uwezo wa kisiasa, Nape ni zaidi mara 1000, labda NAPE VS SLAA hapo kidogo tunaweza kupiga kura.
Unashindanisha akili kubwa kwa akili Ndogo Nape hawezi kushindanishwa na Mnyika, Mnyika kamuacha mbali sana Nape.
nape ni jembe but not like myika ila sehem aliyo kaa inanuka uvundo,pia anover confidenc jamb amblo ni tatz,kwake!
Mnyika shoka sijui nani zaidi!Nape Jembe
Jf ina washabiki wa chadema wengi kwa hiyo hizi poll hazi reflect reality. Kama mnataka kura na matokeo halisi kapigeni kura jimboni ubungo