Pamoja na kwamba umekuwa mstari wa mbele kuweka sheria kandamizi kwenye vyombo vya habari, lakini nakuona kama unaweza kuja kuwa bonge la kiongozi mwenye hekima.
Nimeona maneno yako juu ya madawa ya kulevya, umeongea kama kiongozi .
Big up
Timu kutetea maovu katika ubora waoPamoja na kwamba umekuwa mstari wa mbele kuweka sheria kandamizi kwenye vyombo vya habari, lakini nakuona kama unaweza kuja kuwa bonge la kiongozi mwenye hekima.
Nimeona maneno yako juu ya madawa ya kulevya, umeongea kama kiongozi .
Big up
Kiongozi MZURI huwa ni MSIKILIZAJI mzuri. Ili aweze kutoa UAMUZI wenye BUSARA.Pamoja na kwamba umekuwa mstari wa mbele kuweka sheria kandamizi kwenye vyombo vya habari, lakini nakuona kama unaweza kuja kuwa bonge la kiongozi mwenye hekima.
Nimeona maneno yako juu ya madawa ya kulevya, umeongea kama kiongozi .
Big up
sheria za nchi hazifuatwi..Kiongozi MZURI huwa ni MSIKILIZAJI mzuri. Ili aweze kutoa UAMUZI wenye BUSARA.
Nape ALIHARAKISHA sana KUTETEA wasanii kuhusu MADAI ya BAADHI yao kuhusika na madawa ya kulevya KABLA ya kupata UNDANI wa jambo zima!
Kama hicho ndo KIPIMO cha uongozi basi tuna SAFARI NDEFU kuwapata viongozi BORA!
Naunga mkono hoja,Pamoja na kwamba umekuwa mstari wa mbele kuweka sheria kandamizi kwenye vyombo vya habari, lakini nakuona kama unaweza kuja kuwa bonge la kiongozi mwenye hekima.
Nimeona maneno yako juu ya madawa ya kulevya, umeongea kama kiongozi .
Big up
Nape Nnauye ni kifaa, bila ya Nape leo nchi hii ingekuwa chini ya Mafisadi papa, Nape ndiye aliyepambana kuhakikisha Fisadi Lowasa na Genge lake hawaiteki CCM na kukimbilia chadema!
Kiongozi MZURI huwa ni MSIKILIZAJI mzuri. Ili aweze kutoa UAMUZI wenye BUSARA.
Nape ALIHARAKISHA sana KUTETEA wasanii kuhusu MADAI ya BAADHI yao kuhusika na madawa ya kulevya KABLA ya kupata UNDANI wa jambo zima!
Kama hicho ndo KIPIMO cha uongozi basi tuna SAFARI NDEFU kuwapata viongozi BORA!
Timu kutetea maovu katika ubora wao
Mmmmmmmmmm kwa hili hata kama niwasanii potelea mbali, wauza unga kwama kimefika
Ninyi nyote nawachukulia kama watu wenye akili ndogo sana ya kutafakari mambo na mdio maana mmeshindwa kabisa kuelewa maudhui ya nape , wala hakuwa akitetea bali ninyi ndio mlishindwa kumuelewa kabisa, na mara nyingi akili ndogo huwa haiwezi kujadili mambo makubwa.KAENI KIMYA KWA YALIYO WAZIDI NAYO NI BUSARA.!siungi mkono hoja! Tutetee brand huku vijana wetu wanateketea!
Ningemuona ana busara kama angeanza mbinu za kuwaokoa ila sio wameshatuhumiwa huko eti busara itumike......
Hii no kwa sababu yuko in favor kwa rafiki u nduguyo?Pamoja na kwamba umekuwa mstari wa mbele kuweka sheria kandamizi kwenye vyombo vya habari, lakini nakuona kama unaweza kuja kuwa bonge la kiongozi mwenye hekima.
Nimeona maneno yako juu ya madawa ya kulevya, umeongea kama kiongozi .
Big up
Pasco hivi huwa unatumia kilevi gani?Naunga mkono hoja,
Kuna waona mbali walimspot huyu dogo tangu 2009 na baadae 2011. Nahisi kuna watu wakiishika ile ofisi pale Lumumba akili zao huwa zinahama, wakiisha ondoka ndipo zinawarudia, mwangazie Msabaha, Tambwe Hiza, Nape, na sasa Polepole zimeisha anza kumruka. Thanks God Nape sasa zimemrudia, asipowehuka tena, ni one among very strong candidates wa 2025 during Zitto,January, Makonda and the like! .
Hofu ya kutokuwa na mungu chanzo cha mafisadi-nape nnauye
Nape na madai ya uchagga ndani ya CHADEMA
Paskali