Katibu wa itikadi na uenezi wa ccm mh.nape amesema aliingia kwenye siasa kwa ajali tu kwa sababu baba yake alikua mwanasiasa maarufu lakini alikua maskini hivyo basi siasa haikua chaguo lake, ndoto yake ilikua aje awe rubani wa ndege za jeshi ndio maana alisoma PGM. Alisema maneno hayo katka kipindi cha my play list kinachorushwa na cloudsTV.