Nape si mzima!!

Nape hii single imepoteza mvuto tafuta single nyingine ya kutokea
 

This is all nonsense!! Nape amekuwa akibadilisha kauli kila mara. Alisema kuna viongozi wa Chadema wenye kadi za CCM na tena wanazilipia, akiwemo Dr. Slaa. Alipopigwa shule ya hoja kuhusu umbumbu wa kile alichokisema na kumtaka alete orodha ya namba za risiti zinazolipiwa, akaja na hoja kuwa ataleta orodha ikiwa Dr Slaa ataendeleakubisha. Sasa ameendelea kubanwa vilivyo, analeta matusi na kusema alisema kuwa Dr. Slaa ana kadi ya CCM ambayo si kosa. Ushahidi ulioutaja wa risiki umeingia nao mitini. What a nonsense. Nape, acha kutupotezea muda!! Huna issue na nchi hii ina mambo mengi ya msingi ya kujadili ikiwa ni pamoja na katiba mpya. Dr. Slaa humwezi na ukweli ni kuwa unazidi kuijenga Chadema na Slaa mwenyewe.
 
Nape ana akili tena ana moyo na huruma ya kuwatumikia watanzania maskini - ila CCM wanamtumia wanamharibu believe me guys!!
bad enought the guy is still young - walio wengi ni wazee na wataondoka katika medani za kisiasa in next 5 to 10 yrs yeye atabaki - aelewe ushauri wa bure.
 
Dr. Slaa nafikiri ana umri wa miaka 60 hivi arround-- wewe Nape una arround 35 sasa UBABU na DR.Slaa umetoka wapi kama siyo udaku? huyu ni baba yako ki umri lazima umheshimu. mpinge kwa hoja za msingi na si stories za kuunga unga sis watanzania hatukuelewi kabisa.

Vijana wa 20''s na kushuka ndiyo wanaweza kumwita Babu. :becky: pia hawa vijana wanaweza kumwita wewe ni BABA.
 
Huyu kalelewa na makamba na ndo kampa mke. Sasa hapo unaweza tafakari uelewa wake
 


hakuna hoja ya msingi aliyoitoa Nape zaidi ya kupiga porojo zisizo na tija kwa Taifa. mm ningemsifu endapo angetujibu maswali yafuatayo-
1. nani aliiba fedha za EPA na ni hatua gani zimechukuliwa kwake;
2. Nani muasisi wa Richmond/Dowans na uwizi wake na ni hatua gani zimechukuliwa kwake
3. Nani aliuza Loliondo kwa waarabu na hatua gani zimechukuliwa kwa mhusika na kwanini ardhi iliyouzwa kwa waarabu wa omani haijarejeshwa kwenye himaya ya watanzania
4. Nani aliyehusika na anayehusika katika usafirishaji wa wanyama hai wakiwemo Twiga, tembo n.k. na hatua gani zimechukuliwa dhidi yake
5. Kinana na kundi lake ambao ni wasomali kwa asili ni lini wamepewa uraia
6. Kinana anayedaiwa kushiriki kuhujumu uchumi wa nchi kwa kuua tembo na kusafirisha meno ya tembo amechukuliwa hatua gani
7. Nani ni fisadi na mmiliki wa MEREMETA na hatua gani zimechukuliwa dhidi yake
8.Nani ni mlimiki wa mgodi wa kiwira uliouzwa kifisadi na hatua gani zimechukuliwa dhidi yake
9. kwanini baada ya miaka 50 ya uhuru Tanzaania bado maskini hatuana maji, umeme, huduma bora za afya, shule, barabara za uhakika na maendeleo yanayostahili.
10.Nani alikula rushwa wakati wa ununuzi wa Rada na hatua gani zimechukuliwa dhidi yake
11. Nani anahusika na biashara ya dawa za kulevya ndani ya chama chake na hatua gani zimechukuliwa dhidi yake.
12. Nani anahusika na biashara haramu ya binadamu ndani ya chama chake na hatua gani zimechukuliwa
13. je sera ya kujivua gamba imeishia wapi na nini mafanikio yake
14. endless list........................................

kwangu kadi haina tofauti na ticket ya bus au kitambulisho cha shule ambavyo vingi watu huondoka navyo kama kumbukumbu, hicho ndicho hata Dr. Slaa alifanya. hakuna jipya ni porojo akumbuke iko siku atakua nje ya serikali ya ccm aawajibika kwa kila analolifanya yeye binafsi na sio chama

hatua gani zimechukuliwa kwa wanachama mafisadi wa aina hii katika kuwavua uanachama na kushitakiwa
 
nipende kumweleza huyu mdudu mchafu tanzania(TOPE=NAPE) kuwa ipo sku itafika atakuwa km yule jamaa aliyesemekana alikufa(aliyewahi kuwa govenor) kumbe kaficha upuuzi na uchafu wa ccm.we tope ama utatupwa jararani km kondm ama utakufa ukiwa hai lkn kwa ufupi ni kwamba jiandae kukimbia Tanzania kukimbia kulipa dhambi za uongo wa uchochezi wa ukanda,udini nk
 
Kumbe slaa yuko kwa ajili ya mapambano ee! Ccm ipo kwa ajili ya kushughulikia mambo ya msingi na sio kupambana na watu. Sasa kama chadema mmeji tune kwa mapambano mtapambana na wengine lakini si CCM.

Pole Sana Betlehem. Najua unaelewa ila ni namna unavyotaka jamii ikuone. Ni vizuri kuwa jasiri hata kama unaona narrow gate!. Jipeni moyo pengine mtaona mlango wa kutokea. Sisi tunaona CHADEMA wanasonga mbele. Ni vizuri pengine mkajifunza kwao kama vile ambavyo mmeanza kutekeleza sera za CHADEMA kimya kimya. Hii inaweza kuwasaidia badala ya kuendelea kuwapiga mawe mchana, usiku mwaiba Hekima kwao. Mtaheshimika.
 
1. Hongera kwa Nape kukiri mchango wa Dr. Slaa ktk Taifa hili.
2. Chadema imeshatoa misimamo mara nyingi kuhusu ushoga. INAPINGA USHOGA. Nape asipotoshe. Rejea kauli za Mkurugenzi wa Habari na Uenezi - John Mnyika.
3. Baba yangu ana miaka 65, lakini ana nguvu za akili na mwili. Sijui nimuite Babu. Nina Kaka yangu ana miaka 35 lakini ni mvivu kufikiri na amechakaa kwa kuutumikisha mwili wake kwa starehe. watu wa rika humsalimia wakidhani ni Babu - sijui nimwite Babu. Watanzania wataamua.
 
Nape is dead living body ever existed in the universe.
 
kumbe chadema wanawatumia kina kalumanzira bwana.aisee! si umesikia alivyo sema zitto?
 
na mbaya zaidi anajichubua huu kama siokutafuta mme huku mwaka huu tutajua tu,madaraka yameingiliwa.
 
Nape angejiimarisha kisiasa kama angeliongelea namna nchi yetu ingejitoa katika ufisadi uliokubuhu,
chaguzi zinazotawaliwa na rushwa, mfumuko wa mkubwa wa bei, nk nk
Lakini kwa hili la kusimamia kadi ambayo haina uhusiano na maisha ya watanzania, nina mashaka na uwezo wake kisiasa na kiuongozi
 
Watanzania wanakufa njaa,maliasiri wageni wamemilikishwa,mafisadi wanaimaliza nchi hii,watanzania wengi wamekosa ajira,madakitari hawatoshi nchini,hakuna dawa mahosipitalini,kuna sehemu hapa nchini hawajui kitu kinachoitwa barabara,watoto wa wakulima wanakosa elimu ya juu kwa kukosa mikopo,watoto wa watanzania wanasoma shule za kata ambazo hazina walimu,hazina vitendea kazi.Tujadili namna ya kumkomboa mtanzania ili aweze kutoka kwenye lindi la umasikini wa kupandikizwa sio kujadili kadi.I think we are not serious to what should be discussed here in relation to normal Tanzanian lives.Only cracy people will continue this CCM card discussion.
 
Jamani msipoteze muda, Nape ni mjinga sana bila kipimo. Anadhani watanzania hawa wa leo ni sawa na wale wa mwaka 1995 waliodanganywa na CCM kwamba vyama vya upinzani vikishinda vitataleta fujo kama Burundi na Ruwanda, nonsense kabisa. Mwambieni arudi shuleni kujifunza propaganda aache ujinga. Tumekomaa tunafahamu ukweli hatudanganyiki kama wanavyodhani.
 
kaospitl ti ya moj ya aya anasem huwez kuhimiz wananch kutibiw hospza ndan halaf wew unatibiw nje.viongoz wa nchi watibiw wap?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…