Nape si mzima!!

Kweli Mkuu huyo kijana Nape sio Mzima tumuwahishe milembe mapema.
 
Nape unataka kuniambia ukizaliwa nje ya ndo lazima ujifanye umelaaniwa, usimuite Slaa Babu huyo ni DR.acha wivu ukisoma utapta. nayeye akikuona mweupe sana akuite MR. karorite au mkorogo! siyo siri Nape unatatizo ukiisha kuwa kuwa kidog ukageuka nyuma kuangalia uliyo kuwa unayafanya utajisikitikia sana, kweli na kwambia, CCM isikuzingue sana itakufa kama ilivyo kufa CCJ baada ya hapo sijui nawewe utajiua!?
 
Nape ndege chichidodo, mtoto wa nje ya ndoa kwetu tunawaita mapaka shume. Slaa babu yako kakuzalia nani wewe?? Mamako au babako?? Mangula na wasira je, ni wajomba zako? Ndiyo maana huowi au si riziki? Slaa ni rais wa tz novemba 2015. Nyambaf.
 
Slaa angekuwa babu yako ange kunywa sumu afe kuliko kuwa na mjukuu mpuuzi kama wewe, au hicho juu ya shingo yako siyo kichwa ni dafu tusikulaumu bure
 
Nilidhani umeleta uthibitisho wa risiti za kulipia kadi ya Slaa.

Hoja ya kulipia kadi ndio wenzako waliikuza sana na wakaongeza kuwa mpaka 2016 imeshalipiwa!

Tunaweka kwenye rekodi UONGO mwingine toka kwa NAPE.
 
Kwa nini Aushwitz kuna makumbusho ya concentration camps?

Kwa nini Nürnberg, Germany kuna makumbusho ya ukatili wa Hitler dhidi ya Wayahudi?

Kwa nini Rwanda kuna makumbusho ya mauaji ya kimbari?

Je kila kumbukumbu inayowekwa ni kwa ajili ya jambo ambalo unalikumbuka kwa wema tu?

Uongozi alio nao Dr. Slaa, ni wa kuvuta watu kwenye sera zinazolenga maslahi ya watanzania, na si lengo lake kuwafanya watu wanakili maisha yake.

Nape kama kiongozi unapaswa kujua kuwa kuna mbwembwe za kisiasa ambazo zinaleta hamasa na kwa watu wengine kujiunga na chama, hizo hata CCM mnatumia, ingawa na wewe hujawaambia watu kadi yako ya CCJ umepeleka wapi.

Umebadili kabisa msisitizo wa hoja yako, baada ya kuona uongo wako ni dhahiri. Tunajua ulisema kuwa Dr. Slaa analipia kadi na kutishia kuanika hapa. Kwa kusema analipia ililenga uanachama, maana kwenye katiba ya CCM hakuna malipo ya kadi bali kuna malipo ya uanachama. Leo umekuja na kusema haihuisiki na uanachama.

NJIA YA MWONGO NI FUPI:
 
A fool at fourty is a fool indeed, haya endelea kukisaidia chama kwa nafasi uliyonayo
 
Nilidhani umeleta uthibitisho wa risiti za kulipia kadi ya Slaa.

Hoja ya kulipia kadi ndio wenzako waliikuza sana na wakaongeza kuwa mpaka 2016 imeshalipiwa!

Tunaweka kwenye rekodi UONGO mwingine toka kwa NAPE.

kweli mkuu wangu na mimi nimeifungua hii thread haraka haraka nikijua labda zile listi za malipo ya kadi ndo zimewekwa sasa.
Nape mimi ndiyo maana huwa nasema wewe ni kiazi kama viazi vingine,ulisema kuwa tukiendelea kubisha utatuletea listi za malipo ya uanachama wa Dr Slaa kwa kadi anayoimiliki,sasa leo unabwabwaja tena mengine.Ushauri wangu ni kuwa Slaa na wewe ni vitu viwili tofauti wala huwezi kutafuta ligi na yule Dr Slaa.Jiangalie pamoja na kubebwa na media na dola lakini huna hata punje ya postive effects katika taifa hili kama aliyonayo Dr Slaa.Muhimu endelea kuwalamba miguu mafisadi huna lolote.....................................
 
......pamoja na kuwa mimi ndie niliyeanzisha mjadala huu, namheshimu sana Dr. Slaa kama mtu mzima sana kwangu na ndo maana huwa namuita babu,lakini bila kumumunya maneno ana mchango katika demokrasia ya nchi yetu bila kujali ni chanya au ni hasi.(HAPO SAWA)

........Chadema chini ya babu huyu kama katibu mkuu wa chama, wameshindwa mpaka leo kuweka bayana msimamo wao juu ya sera za ushoga ( HILI NI SUALA LA DUNIA NZIMA NADHANI HATA HAPO IKULU UNAJUA HAYA MAMBO YAPO HATA HUKO MNAPOENDAGA KUKOPA WALIOTAWALA HIZO OFISI/MABENKI HIZI NI SERA ZAO KWA HIYO HAPO USIWATUMBUKIZE CHADEMA KWENYE MGOGORO WA KIDUNIA)
 
Du naona Nape unajaribu kuchangamsha propaganda yako mfu. Watu wameikata hiyo mkubwa jaribu nyingine.
 


Daaa we kxxa una ID nyingi nape unatuma na kujijibu mwenyewe tunasema akina ritz kumbe Jr, faiza etc
 
 
Kwa nini ufikiri ni kosa???Mbona husemi ugolo wako na CCJ? Ni wapi imeandikwa kadi lazima irudishwe ...utashi wa mtu nalo ni kosa? Niambie katika Tanzania ya leo mtu aliyeiumbua CCM katika mambo lukuki kama Slaa. Kwa jalamba alilolipiga mpaka CCM akili zikaanza kuwarudi kichwani; inatosha kusema Slaa hata kama angemiliki kadi mia bado mtu safi.

suala la familia ni issue normal, mbona Mwenyekiti wenu amewatenda wake za watu kibao tena akiwa kwenye mamlaka??? alipozaaa na Vick alishariana na mke wake??? Je hakusaliti familia yake??????

Mbona CCM mnapenda siasa uchwara? kwa nini msiongelee mambo ya uchumi, elimu na afya??? Inasikitisha serikali ya CCM haijui idadi ya wanafunzi wanaokaa chini bila madawati wala wagonjwa wanaolala kwenye sakafu hospitalini. Kazi hiyo imeachiwa NMB na makampuni mengine.....shame!!
 
Nnauye Jr. Nadhibitisha Leo Kuwa wewe sio mtoto wa ndoa na Kama ni wa ndoa basi we bwabwa sasa Unakuja na vihoja badala ya hoja? Katibu mwenezi ccm Tehe Tehe Tehe



 
Sioni shida kama nape ameandika haya kwenye face book wall yake au hapa JF. Lakini jinsi taarifa ilivyosainiwa nahisi kama ni taarifa rasmi ya chama. Kama hivyo ndivyo, kuna shida kubwa
 
Pole Nnauye Jr,sisi tumeshatoka huko kwenye makadikadi,tunasonga mbele,tafuta hoja nyingine Vuvu Zii!
 
Pole Nnauye Jr,sisi tumeshatoka huko kwenye makadikadi,tunasonga mbele,tafuta hoja nyingine Vuvu Zii!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…