GE2025 Nape Nnauye: Samia ndiyo mgombea original, wengine photocopy

GE2025 Nape Nnauye: Samia ndiyo mgombea original, wengine photocopy

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Mgombe Ubunge wa jimbo la Mtama kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Nape Moses Nnauye amewasisitiza wananchi wa jimbo la Kilwa Kaskazini kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura ili kumchagua mgombea Urais wa chama hicho Dkt. Samia Suluhu Hassan sambamba na Mbunge na Madiwani wake kutokana na kile alichoeleza kuwa mgombea huyo ndio 'Original' na kwamba wengine ni 'photocopy'

Ameeleza hayo Septemba 10.2025. Alipokuwa akizungumza na wananchi wa eneo hilo kama mgeni rasmi wa hafla ya uzinduzi wa kampeni za mgombea Ubunge wa jimbo hilo Kinjeketile Ngombale Mwiru, ambapo pia amesema, ambapo amesema Dkt. Samia katika kipindi chake kama Makamu wa Rais na baadaye kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametekeleza majukumu yake kikamilifu

"Sisi Chama cha Mapinduzi, tumemsimamisha Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuna vyama vingine vimesimamisha wagombea wao, mimi sina maneno nao kwa sababu wote wasindikizaji, yupo mmoja mwenye shughuli yake anaitwa Samia, na mtu mwenye akili timamu hawezi kuhangaika na photocopy wakati original ipo" -Nape

‎Ameongeza kuwa mataifa mengi hujikuta katika hali ya machafuko baada kujitokeza kwa mazingira kama yaliyotokea Tanzania mwaka 2021 (ya kufariki Rais aliyekuwa madarakani), lakini hapa Tanzania aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt. Samia Suluhu Hassan aliapishwa kuwa Rais na amenyesha utayari wa kuiongoza Tanzania licha ya kwamba awali hakujiandaa kushika nafasi hiyo

Aidha, Nape amesisitiza kuwa miradi yote ya maendeleo aliyoipokea Dkt. Samia Suluhu Hassan kutoka kwa mtangulizi wake (Hayati Dkt. John Pombe Magufuli) imeendelea kiukamilifu zaidi ya ilivyokuwa awali

"Wakina mama wanaweza, na kama tulimjaribu miaka minne (4) hatuna sababu ya kumnyima miaka mingine mitano (5), amethibitisha anaweza" -Nape

‎Ameongeza kuwa licha ya msigano uliokuwepo kwenye siasa hapa nchini lakini Dkt. Samia Suluhu Hassan aliruhusu uhuru kwa wanasiana na mikutano ya hadhara kuendelea licha ya kushambuliwa kwa maneno

‎Aidha, ili kuchagiza maendeleo amesema kiongozi huyo alisisitiza ulipaji kodi wa haki hali iliyopelekea miradi ya maendeleo kukamilika.

 
Mgombe Ubunge wa jimbo la Mtama kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Nape Moses Nnauye amewasisitiza wananchi wa jimbo la Kilwa Kaskazini kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura ili kumchagua mgombea Urais wa chama hicho Dkt. Samia Suluhu Hassan sambamba na Mbunge na Madiwani wake kutokana na kile alichoeleza kuwa mgombea huyo ndio 'Original' na kwamba wengine ni 'photocopy'

Ameeleza hayo Septemba 10.2025. Alipokuwa akizungumza na wananchi wa eneo hilo kama mgeni rasmi wa hafla ya uzinduzi wa kampeni za mgombea Ubunge wa jimbo hilo Kinjeketile Ngombale Mwiru, ambapo pia amesema, ambapo amesema Dkt. Samia katika kipindi chake kama Makamu wa Rais na baadaye kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametekeleza majukumu yake kikamilifu

"Sisi Chama cha Mapinduzi, tumemsimamisha Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuna vyama vingine vimesimamisha wagombea wao, mimi sina maneno nao kwa sababu wote wasindikizaji, yupo mmoja mwenye shughuli yake anaitwa Samia, na mtu mwenye akili timamu hawezi kuhangaika na photocopy wakati original ipo" -Nape

‎Ameongeza kuwa mataifa mengi hujikuta katika hali ya machafuko baada kujitokeza kwa mazingira kama yaliyotokea Tanzania mwaka 2021 (ya kufariki Rais aliyekuwa madarakani), lakini hapa Tanzania aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt. Samia Suluhu Hassan aliapishwa kuwa Rais na amenyesha utayari wa kuiongoza Tanzania licha ya kwamba awali hakujiandaa kushika nafasi hiyo

Aidha, Nape amesisitiza kuwa miradi yote ya maendeleo aliyoipokea Dkt. Samia Suluhu Hassan kutoka kwa mtangulizi wake (Hayati Dkt. John Pombe Magufuli) imeendelea kiukamilifu zaidi ya ilivyokuwa awali

"Wakina mama wanaweza, na kama tulimjaribu miaka minne (4) hatuna sababu ya kumnyima miaka mingine mitano (5), amethibitisha anaweza" -Nape

‎Ameongeza kuwa licha ya msigano uliokuwepo kwenye siasa hapa nchini lakini Dkt. Samia Suluhu Hassan aliruhusu uhuru kwa wanasiana na mikutano ya hadhara kuendelea licha ya kushambuliwa kwa maneno

‎Aidha, ili kuchagiza maendeleo amesema kiongozi huyo alisisitiza ulipaji kodi wa haki hali iliyopelekea miradi ya maendeleo kukamilika.
Ni kweli Copy wameiweka wenyewe!!
 
Mgombe Ubunge wa jimbo la Mtama kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Nape Moses Nnauye amewasisitiza wananchi wa jimbo la Kilwa Kaskazini kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura ili kumchagua mgombea Urais wa chama hicho Dkt. Samia Suluhu Hassan sambamba na Mbunge na Madiwani wake kutokana na kile alichoeleza kuwa mgombea huyo ndio 'Original' na kwamba wengine ni 'photocopy'

Ameeleza hayo Septemba 10.2025. Alipokuwa akizungumza na wananchi wa eneo hilo kama mgeni rasmi wa hafla ya uzinduzi wa kampeni za mgombea Ubunge wa jimbo hilo Kinjeketile Ngombale Mwiru, ambapo pia amesema, ambapo amesema Dkt. Samia katika kipindi chake kama Makamu wa Rais na baadaye kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametekeleza majukumu yake kikamilifu

"Sisi Chama cha Mapinduzi, tumemsimamisha Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuna vyama vingine vimesimamisha wagombea wao, mimi sina maneno nao kwa sababu wote wasindikizaji, yupo mmoja mwenye shughuli yake anaitwa Samia, na mtu mwenye akili timamu hawezi kuhangaika na photocopy wakati original ipo" -Nape

‎Ameongeza kuwa mataifa mengi hujikuta katika hali ya machafuko baada kujitokeza kwa mazingira kama yaliyotokea Tanzania mwaka 2021 (ya kufariki Rais aliyekuwa madarakani), lakini hapa Tanzania aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt. Samia Suluhu Hassan aliapishwa kuwa Rais na amenyesha utayari wa kuiongoza Tanzania licha ya kwamba awali hakujiandaa kushika nafasi hiyo

Aidha, Nape amesisitiza kuwa miradi yote ya maendeleo aliyoipokea Dkt. Samia Suluhu Hassan kutoka kwa mtangulizi wake (Hayati Dkt. John Pombe Magufuli) imeendelea kiukamilifu zaidi ya ilivyokuwa awali

"Wakina mama wanaweza, na kama tulimjaribu miaka minne (4) hatuna sababu ya kumnyima miaka mingine mitano (5), amethibitisha anaweza" -Nape

‎Ameongeza kuwa licha ya msigano uliokuwepo kwenye siasa hapa nchini lakini Dkt. Samia Suluhu Hassan aliruhusu uhuru kwa wanasiana na mikutano ya hadhara kuendelea licha ya kushambuliwa kwa maneno

‎Aidha, ili kuchagiza maendeleo amesema kiongozi huyo alisisitiza ulipaji kodi wa haki hali iliyopelekea miradi ya maendeleo kukamilika.


Wakati mnafungia jf mlitaka hayo mambo yenu mkaongelee wapi?
 
Mgombe Ubunge wa jimbo la Mtama kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Nape Moses Nnauye amewasisitiza wananchi wa jimbo la Kilwa Kaskazini kujitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura ili kumchagua mgombea Urais wa chama hicho Dkt. Samia Suluhu Hassan sambamba na Mbunge na Madiwani wake kutokana na kile alichoeleza kuwa mgombea huyo ndio 'Original' na kwamba wengine ni 'photocopy'

Ameeleza hayo Septemba 10.2025. Alipokuwa akizungumza na wananchi wa eneo hilo kama mgeni rasmi wa hafla ya uzinduzi wa kampeni za mgombea Ubunge wa jimbo hilo Kinjeketile Ngombale Mwiru, ambapo pia amesema, ambapo amesema Dkt. Samia katika kipindi chake kama Makamu wa Rais na baadaye kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametekeleza majukumu yake kikamilifu

"Sisi Chama cha Mapinduzi, tumemsimamisha Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuna vyama vingine vimesimamisha wagombea wao, mimi sina maneno nao kwa sababu wote wasindikizaji, yupo mmoja mwenye shughuli yake anaitwa Samia, na mtu mwenye akili timamu hawezi kuhangaika na photocopy wakati original ipo" -Nape

‎Ameongeza kuwa mataifa mengi hujikuta katika hali ya machafuko baada kujitokeza kwa mazingira kama yaliyotokea Tanzania mwaka 2021 (ya kufariki Rais aliyekuwa madarakani), lakini hapa Tanzania aliyekuwa Makamu wa Rais wakati huo Dkt. Samia Suluhu Hassan aliapishwa kuwa Rais na amenyesha utayari wa kuiongoza Tanzania licha ya kwamba awali hakujiandaa kushika nafasi hiyo

Aidha, Nape amesisitiza kuwa miradi yote ya maendeleo aliyoipokea Dkt. Samia Suluhu Hassan kutoka kwa mtangulizi wake (Hayati Dkt. John Pombe Magufuli) imeendelea kiukamilifu zaidi ya ilivyokuwa awali

"Wakina mama wanaweza, na kama tulimjaribu miaka minne (4) hatuna sababu ya kumnyima miaka mingine mitano (5), amethibitisha anaweza" -Nape

‎Ameongeza kuwa licha ya msigano uliokuwepo kwenye siasa hapa nchini lakini Dkt. Samia Suluhu Hassan aliruhusu uhuru kwa wanasiana na mikutano ya hadhara kuendelea licha ya kushambuliwa kwa maneno

‎Aidha, ili kuchagiza maendeleo amesema kiongozi huyo alisisitiza ulipaji kodi wa haki hali iliyopelekea miradi ya maendeleo kukamilika.
Nape hawezagi kutunza siri, ni muwazi sana

Sasa sijui kama hili nalo ni linahusisha elimu yake ama laah!

Alitamka wazi kwamba, CCM haitegemei kura za kwenye sanduku, leo tena katwambua wazi kabisa, wagombea wengine wote ji photocopy ya original ya CCM, wao ni ccm copy

Lakini,

Nape, February, Nanaki,yule Mtanga wa kitengo cha U Dk! Hawa watu achana nao kabisa


Bado kidogo tu wangembwaga mamayeyo kwenye hiyo nafasi

Baada ya kubumbuluka, Nape alikimbia vibaya mno kwa mamayeyo kuomba msamaha!

Kilichoendelea na kinachoendelea kwa hao wawili wa Tanga, ni kutokuomba msamaha
 
Mzee tumbo(Nape) wizi wake bado kidogo ungesaidia hasa kweny uchaguzi wa Mbunge wa Africa mashariki ambapo aliiba kura za mama kiziga na kumpa Mama Mkami japo Kinana aliaambiwa warudie kuhesabu kura ndo Kizigha akatoboa
 
Nani asiyekujua? Mzee wa kwenda na upepo. Kushoto upo...Kulia upo
 
kati ya Nnauye na mwandosya ni nani Original na Copy kwake ?
 
Back
Top Bottom