Nape Nnauye na Kinana

Jallen

JF-Expert Member
Mar 31, 2012
517
196
Sina unasaba na chama hiki ila hawa watu ndio waliorudisha imani ya chama kwa watu. Hawa ndugu walizunguka Tanzania nzima wakihamisha wanachama na wananchi kuhusu CCM

Walipiga kelele kuhusu Waziri wa maji Maghembe waziri wa kilimo kuwa hawawajibiki ipasavyo kuhudumia wananchi.

Kazi aliyoifanyia chama na hata wakati wa kampeni ni kubwa sana. Sijui ni kwa nini mkuu ameamua hivyo tena hajaondolewa kwa uzembe bali kwa kusimamia haki.

Sasa ni nani atakayejitokeza mbele kupigania wanyonge, wanaoonewa, wanaodhulumiwa? Kama watetezi wao wanaondolewa? Hata kama yapo mapungufu yake lakini kwa jambo alilolisimamia alipaswa kupongezwa na kila mpenda haki.

Lakini naona kama Mungu anatupitisha huku kutukumbusha jambo fulani. Naona ukombozi wa tabaka la wanyonge ukitimia. Naona utawala ukifarakana, naona mwisho wa hiki chama ukijongea kwa kasi.

Ni wakati wetu kama taifa kupokea mabadiliko haya yanayokuja kwa kasi. Tudai kwa nguvu yale tuliyoayaacha kama katiba mpya. Huu ni mwanzo mwema kwa wapenda mageuzi.

Hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho, naam mwanzo wa mwisho huo umeanza.
 
Turning and turning in the widening gyre
The falcon cannot hear the falconer;
Things fall apart; the centre cannot hold;
Mere anarchy is loosed upon the world,
The blood-dimmed tide is loosed, and everywhere
The ceremony of innocence is drowned;

The best lack all conviction, while the worst
Are full of passionate intensity.

Surely some revelation is at hand;
Surely the Second Coming is at hand.
The Second Coming! Hardly are those words out
When a vast image out of Spiritus Mundi
Troubles my sight: somewhere in sands of the desert
A shape with lion body and the head of a man,
A gaze blank and pitiless as the sun,
Is moving its slow thighs, while all about it
Reel shadows of the indignant desert birds.
The darkness drops again; but now I know
That twenty centuries of stony sleep
Were vexed to nightmare by a rocking cradle,
And what rough beast, its hour come round at last,
Slouches towards Bethlehem to be born?

The second coming by W. B Yeats
 
Back
Top Bottom