KATIBU wa NEC Itikadi na Uenezi-CCM Nape Nnauye amesema, ndoto aliyokuwa nayo ya kazi ambayo angependa kufanya alipokuwa hajawa mwanasiasa ni kuwa askari ambaye rubani wa ndege za kijeshi.
Amesema maandalizi ya kutimiza ndoto hiyo alikuwa ameianza kwa kuweka kipaumbele kwenye masomo ya fani hiyo ikiwemo fizikia na jiografia wakati anamaliza kidato cha nne.
Nape mwenye umri wa miaka 37, sawa na umri wa CCM, amesema hayo leo alasiri alipododoswa na watangazaji kwenye kipindi cha 'Power Jam' katika Kituo cha Radio cha East Africa, kilichopo Mikocheni jijini Dar es Salaam, ambao walitaka awaambie wasikilizaji ni kazi ya fani ipi aliyokuwa akiipenda kuifanya asingekuwa mwanasiasa.
"Kazi niliyopienda zaidi ni kuwa Mwanajeshi, tena Mwanajeshi mwenyewe ambaye ni rubani wa kurusha ndege za kijeshi...Na hata nilipokuwa namaliza kidacho cha nne, nilikuwa nimejiandaa zaidi katika masomo ya fani hiyo ikiwemo fizikia na jiografia", alisema, Nape.
ANAVYOJITOFAUTISHA NA WANASIASA WALIOPO VYAMA VYA UPINZANI
Akizungumzia tofauti iliyopo kati yake na wanasiasa walipo kwenye vyama vya upinzani kama walivyotaka kujua watangazaji hao, Nape alisema, tofauti kubwa iliyopo ni kwamba yeye ni mwanasiasa ndiyo sababu yupo kwenye chama cha CCM ambacho ni cha siasa lakini wapinzani siyo wanasiasa bali ni wana harakati kwa sababu wapo kwenye vyama vya harakati siyo vya siasa.
"Unajua mimi ni mwanasiasa ndiyo sababu nipo kwenye Chama Cha Mapinduzi ambacho ni chama cha siasa, lakini hao wengine ni wana harakati ndiyo sababu wapo kwenye vyama vya harakati. Na hii ndiyo tofauti kubwa ya mimi na wao", alisema Nape.
For one thing imekuwa afadhali hiyo hadithi ya kuwa Mwanajeshi na rubani, iliishia usingizini. Jeshi lingekuwa na hasara sana kuwa na mtu kama Nape. By the way nnaweza kubet kuwa interview angefeli. Na hata angepitishwa depo ingemshinda. Kule waimba taarabu hawamalizi.
Mbona na wewe umeandika mipasho sasa?For one thing imekuwa afadhali hiyo hadithi ya kuwa Mwanajeshi na rubani, iliishia usingizini. Jeshi lingekuwa na hasara sana kuwa na mtu kama Nape. By the way nnaweza kubet kuwa interview angefeli. Na hata angepitishwa depo ingemshinda. Kule waimba taarabu hawamalizi.
Mkuu unafikiri ni ufaulu hafifu ndo ulizima ndoto zake nini?
Mbona na wewe umeandika mipasho sasa?
Nape jipange ili urudishe imani kwa wana CCM wakupitishe Ubungo kura za maoni ili badae uje Umng'oe Mnyika 2015.
Ikishindikana Gandana na Kinana akuachie Mikoba Ya Ukatibu Mkuu maana anakupigisha zoezi.
For one thing imekuwa afadhali hiyo hadithi ya kuwa Mwanajeshi na rubani, iliishia usingizini. Jeshi lingekuwa na hasara sana kuwa na mtu kama Nape. By the way nnaweza kubet kuwa interview angefeli. Na hata angepitishwa depo ingemshinda. Kule waimba taarabu hawamalizi.
hayo masomo yenyewe kama kweli alikuwa serious hiyo geograpy na physics alipata alama gani za ufaulu? Na pia ina maana siasa alianza alipokuwa anasoma olevel
Yaani,angeweza kupokea fungu na kuwatosa wenzake.Yaani afadhali hakuwa.
Kupokea fungu wala isingekuwa tatizo. Wasiwasi wa hizo ndege kupotelea kusikojulikana, na kuwasaliti wenzake kwa kuuza siri za jeshi. Nna maana sioni ni vipi mtu anaweza kuwasaliti wananchi halafu huyohuyo awe kamanda wa kutumainiwa jeshini!
naomba kuthibitishiwa, eti:-
mnyika vs nape, form four results
nape nnauye
div iv-29
kisw d, hist d, geog d, eng f, b/math f, biol d,
chem d, phy d, civ f
john mnyika
div i-7
phy a, chem a, biol a, civ a, engl a, geog a, hist
a, b/math a, kisw a, b/know a