NAMTUMBA
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,939
- 594
Tatizo hajui nini anahitaji kukifanya.Alianza na magamba ikashindikana,sasa hivi ukimsikiliza kuanzia mwanza wa hotuba ni wapinzani na hadithi za UKAWA.
Mwacheni aendelee kuipaisha UKAWA ichukue nchi 2015.