Jamani tindikali si wanamagamba walimwagiana wakigombea rushwa mliyowapa? Acheni kusingizia CDM kwa ufirauni wenu bana tumechoka. Kila mkinya harufu ya mavi yenu itoke CDM wapi na wapi?Selective memory at its best. Hivi wewe hali ile ya kumwagia watu tindikali, kubaka msichana na hata kumdhalilisha mkuu wa wilaya unaona kwa standard ya Chadema ni vitendo vya kudumisha amani? Hebu tuondoleeni balaa yenu hapa!