Mwisho wa jambo ukifika hakuna mwenye nguvu yakuzuia hawa wanatapatapa lakini watunyoosha mikono jamani bado sijapata uhakika ratiba ya maandamano bado iko palepale?
Hii katiba sio ya Chama chochote cha siasa ni ya wananchi wote, kuandaa muswada kwa kuegemea upande wa serikali sio sawa kabisa, nina amin wananchi wana nguvu kubwa kuliko serikali, kwani serikali imewekwa madarakani na wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.