mende 2014
JF-Expert Member
- Apr 13, 2014
- 763
- 131
Katibu mwenezi wa CCM mh.Nape Nauye, amesema ukawa usirudi tena bungeni. Je, hii kauli yake ni sahihi?
Mpaka August watakuwa na njaa sana posho zimeisha na zile hela walizopewa kutoka nje ili kuvuruga amani yetu watakuwa wamedhurumiana na kusambalatika, bunge likianza utawaona haoo mmoja mmoja wa kwanza lema labda wamfunge kamba
Mpaka August watakuwa na njaa sana posho zimeisha na zile hela walizopewa kutoka nje ili kuvuruga amani yetu watakuwa wamedhurumiana na kusambalatika, bunge likianza utawaona haoo mmoja mmoja wa kwanza lema labda wamfunge kamba
When the wise man points at the Moon, the fool looks at the finger.
Usifikiri ulivyo na njaa ndivyo wenzio walivyo, endelea kuwa mchumia tumbo akina ridh 1 wakirithishwa nchi. shame on you:frusty:
hahahah rich paul beibi wewe ni serikali tatu ama mbili?Kama hawana njaa kwanini walisubiri posho itoke ndiyo waondoke bungeni?
Halafu eti mnajitia mnauchungu na hela ya mlipa kodi?!
Shame on you.
hahahah rich paul beibi wewe ni serikali tatu ama mbili?