CCeM imekamatwa iwezi tena kuisha habari yake, ngoja tusubiri , wakiamua kuunga hoja posho ziendelee kulipwa tunarudi kwa wananchi hapo hawatoki ,kama ni nyoka ametandikwa kiwiliwili awezi tena kwenda popote, Nape ameishiwa yaani yeye kila hoja ni kudandia tu !